Wanawake hawanitaki, nahisi nina mkosi mkubwa

Wanawake hawanitaki, nahisi nina mkosi mkubwa

TAFUTA KIBUNDA
TAFUTA PESA
TAFUTA HELA
TAFUTA MAVUMBA
TAFUTA UMATE UMATE

Kuwa na hela kijana halafu njoo tena uone kama kuna mtu atakukataa
Mkuu Naomba Usome Vizuri Hapa.....!! Kama ni Suala la Pesa Mbona Nalimudu Vizuri....!! Nahonga Ovyo Sana Na Hua Sijiulizi Mara Mbili Mie Kwa Pisi Yeyote ile Natoa Tu Tena Kwa Wakati
 
Ukiona hivyo hao hawajatoka kwa ubavu wako,tulia subiri alietoka kwa ubavu wako
Ndani ya huu mfungo wako ,jitahidi kumshirikisha Allah!pia kwa hili.
Ramadhan qareem
Taqabar Mina Waminkum Kaka...!! Ni Miaka Sasa Naomba Dua Hizi
 
Salam za wakati huu jamvini, naimani hamjambo na wazima wa afya kabisa na mnaendelea kulijenga taifa la mpate japo kitu kiende kinywani.

Bila kupoteza muda na kuifupisha makala hii, naweza kusema kuwa napitia wakati mgumu sana pale ambapo naona binadamu wenzangu wakidekezana wao kwa kao (male + female).

Mie nchi hii wanawake ndio wameamua kunikataa kabisa najaribu ku approach wanawake l ambao wanaonekana kabisa wako tayari kunidate lakini wapi, aisee huu ni mkosi!

Inafikia hadi natumia pesa kuwapata lakini tutadate siku mbili tu halafu haijulikani tumeachanaje.

Ahsanteni, naomba kuwasiliana uzi huu niendelee na Mfungo wa Ramadan.
Chunguza harufu ya kinywa chako..!
 
Back
Top Bottom