Fundi kipara
Senior Member
- Oct 27, 2019
- 125
- 247
- Thread starter
- #41
Ndio Penzi Liwe la Siku Mbili Tatu Kaka...!! Mtu Unaomba Meeting Tena Sehem Yenye Hadhi na Kila Kitu UnaFix Wewe Lakini Bidada Anatakubali Then HatokeiSwaga hauna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Penzi Liwe la Siku Mbili Tatu Kaka...!! Mtu Unaomba Meeting Tena Sehem Yenye Hadhi na Kila Kitu UnaFix Wewe Lakini Bidada Anatakubali Then HatokeiSwaga hauna
Kama Kuna Dawa Nambie Nitafute Ning'arishe Nyota Yangu Nakua Lonely Sana Napo Ona Wenzangu Wanapedana na Bebe ZaoComrade, uamuzi ni wako. Ni lazima kwanza ufanikiwe kuwa mpendwa. Kupendwa hakuishii kwenye mwonekano tu.
Ova
Inshaallah Mungu Akiongeza Nitaongeza Kwa Mama Angu KipenziMuongezee tena bimkubwa achana na wanawake wa siku hizi wengi ni malaya.
Mwanamke hana faida yoyote kwako zaidi ya vizinga na kuja kulikojolea shuka lako wakati wa mnyanduano
Inshaallah Mungu Akiongeza Nitaongeza Kwa Mama Angu KipMuongezee tena bimkubwa achana na wanawake wa siku hizi wengi ni malaya.
Mwanamke hana faida yoyote kwako zaidi ya vizinga na kuja kulikojolea shuka lako wakati wa mnyanduano
Hata Hizo Mechi Napataga Sasa...!! Ukipanga Meeting Pisi Haitokei Zitaletwa Sababu za Hovyo au Pengine Ndo Mnakua Mshaachana HivyoUnapewa mechi ndani ya siku mbili?
Kama upewi mechi tafuta mnyonge utoe hilo gundu ulioachiwa na wa mwisho kukutana nae kimwili.
Comment Yako Imenipa Nguvu Sana...!! Ahsante Sana Da MzuriMahusiano ukiyawazia sana huyapati
Wewe ishi tu na usichoke kutafuta
Kaka Kwa Story Nazopewa na Washkaji Zangu Kupendwa na Kudekezwa Inaonekana Dhahiri ni Raha Sana ila Robot Haliwezi Kufanya Hivyo...!! Hii Mada sio Kwamba Nakosa Kudinya ila Love Kama Nayoona kwa Washkaji Hio Mie Sijawai Kuipata Tokea NizaliweHadi kufikia Siku ya Jana, bei ya roboti la kike lirembo la Bwana Elon Musk lilikuwa linauzwa dollar 1,500 tu
Kwa hela za madafu ni shilingi milioni 3.7 tu
Fanya kulichukua hilo udumu nalo hadi Uzeeni 🤗
Naomba meeting....Ndio Penzi Liwe la Siku Mbili Tatu Kaka...!! Mtu Unaomba Meeting Tena Sehem Yenye Hadhi na Kila Kitu UnaFix Wewe Lakini Bidada Anatakubali Then Hatokei
Kazi + Pesa 70% Nnavyo Pia Umri Is Just a Number BroUna hela? Una Kazi? Una umri gani?
Really....?? Just PM MeNaomba meeting....
I'm Halal Man...!! SORRY Dini Yangu Hairuhusu BroHamia kwa wanaume
Uko wapi, tunasuburi mfungo? Au tumeet mida ya futariReally....?? Just PM Me
75% Nahisi Hivyo Aisee Itabidi Nitafute Njia ya Kumtoa Jini Huyu Aneninyima Raha...!!Dalili za kwamba una jini mahaba.
Ufanyiwe dua, maombi na visomo litoke.
Ningekusaidia kitu. Ila okay as far ni number.. uwe na jioni njemaKazi + Pesa 70% Nnavyo Pia Umri Is Just a Number Bro
kasafishe nyotaa labda nyota yako chafuI'm Halal Man...!! SORRY Dini Yangu Hairuhusu Bro
Tusubiri Mfungo UisheUko wapi, tunasuburi mfungo? Au tumeet mida ya futari
Kama Pesa Ipo Kaka Huku Mikoani Hakuna Mwanamke wa Mie Kushindwa Kumhudumia Chochote Kile...!! Naweza 70%Tafuta pesa kwanza mapenzi ni gharama ndugu
Mwezi Huu Ukiisha Tu Lazma Nitafute Mtaalamkasafishe nyotaa labda nyota yako chafu
Au wale waliosemezewa kua wasioe
Sawa nakupm namba yangu, siku ya Idi tu bila kuchelewa nakucheki ...Tusubiri Mfungo Uishe