Wanawake hivi na nyinyi mkikuta mwanaume ana mtoto mnakataa kuolewa naye?? 🤔🤔

Wanawake hivi na nyinyi mkikuta mwanaume ana mtoto mnakataa kuolewa naye?? 🤔🤔

Zaidi ya mmoja kwa kweli ni ngumu, huwezi kuwa na baby mama zaidi ya mmoja halafu utake kuoa brand new.

Ni ngumu kupata mke na hata akijilipua kukukubali ujue huyo ni kauzu hapendi wanao kiivo anaishi kwa akili tu hapo.
Mimi baby mama watatu nkaoa brandnew...yeye akiwa mjamzito nkampa mimba mdada mwingine huko dar watoto wamepishana mwezi kuzaliwa....mwanamke ukiwa na uwezo hata uwe n watoto 20 atakuja tu kwako
 
Hao watoto wake wanazuia vipi huba langu?
Me naangalia mapenzi na huduma muhimu hayo ya watoto nitawalea kiroho safi, na mama zao hawantishi!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanawake wanapaswa kukuelewa wasipokuelewa wakakalie gekul kule babati....kunywa wine bili ntalipa
 
Hao watoto wake wanazuia vipi huba langu?
Me naangalia mapenzi na huduma muhimu hayo ya watoto nitawalea kiroho safi, na mama zao hawantishi!! 🤣🤣🤣
We unaonekana hata hao watoto unaweza kuwaiba wawasahau mama zao.

Kuna wanawake wanapenda watoto mpaka wanaume wanaolea watoto peke yao wanakuwa kivutio cha pekee kwao.
 
We unaonekana hata hao watoto unaweza kuwaiba wawasahau mama zao.

Kuna wanawake wanapenda watoto mpaka wanaume wanaolea watoto peke yao wanakuwa kivutio cha pekee kwao.
🤣🤣🤣 me nikikupenda ex baby mama wako lazima ahame mji.
Na hao watoto watamkataa mama yao!!
Na wewe mwanaume presha utazisikia kwa majirani
 
🤣🤣🤣 me nikikupenda ex baby mama wako lazima ahame mji.
Na hao watoto watamkataa mama yao!!
Na wewe mwanaume presha utazisikia kwa majirani
Mimi wanawake wa aina yako nawapenda kweli.

Yani mapenzi shurti kama mashindano vileee 🤣🤣😘😘
 
Mkuu ulichoongea ni sahihi, ila sio kwa wanawake wa sikuizi, labda mama zetu waliozaliwa 60s and 70s

Wanawake wa sikuiz wanafanya mapenzi na wanaume wengi sana, kukusahau ni jambo la kawaida kwake, kwanza ukionesha nia ya kugandana anakushangaa, anakuona una pigo za kizamani.

Wanawake wa sikuiz wanafanya mapenzi na wanaume wengi sana bila kuwa na malengo, unakutana nae leo kesho kutwa unapiga.

Wanawake wa sikuiz hawajui dhamani ya uchi wao, hawajui hata thamani ya penzi lao, wanagawa uchi kwa kila ampendaye, na kila akifanya hivo dhamani yao inazidi kupungua, lakini hawajali.

Zamani tuliambiwa mwanamke ukimtoa kibra hakusahau, lakini ni uongo mkubwa sana, mimi nilishawahi kuwahoji wanawake watatu wote wakasema hawakumbuki walitolewaje bikra na hata hawamkumbuki mhusika.

Yaan kiufupi sikuiz wanawake wamechukua tabia yetu wanaume ya kupenda kuwa katika mahusiano na multiple partners na kupenda kufanya nao mapenzi.

Nadhani Sikuiz hakuna utofauti wa kitabia kati ya mwanaume na mwanamke.
Mkuu wewe ni muiraq au mmasai?
 
Mwanaume hakikisha unakuwa na hela
Mwanamke hakikisha huzai hadi uolewe
 
Back
Top Bottom