Ogopa sana kuingilia mapenzi ya watu na hasa chozi la mwenzio kudondoka kisa wewe! What goes around must come around dada ngojea utakuwa na kichaa zaidi ya huyo unayemuita mbishiHapana mie saivi Niko mkoa,yeye yuko dizim Sasa nasababishaje ugomvi hapo?mwanaume ni muislam na anasema dini yake inatuhusu,tatizo nini hapo?
Huyu hatoi talaka anaongeza mke dini yake inatuhusu,hata kwa ndugu zake wote nishatambulishwa
Hicho kichaa siwezi pata,nimetongonzwa,na jamaa amesema hataki kuzini anataka halalisha kwa kuwa dini inatuhusu,wewe Nani umpangie? mbona huongei kuhusu huyo mwanaume alonitongoza huku akijua Ana mke nyumbani.Ogopa sana kuingilia mapenzi ya watu na hasa chozi la mwenzio kudondoka kisa wewe! What goes around must come around dada ngojea utakuwa na kichaa zaidi ya huyo unayemuita mbishi
Mgogoro sijaleta mie,kaleta bi mkubwa kwa kujistukia,wakati mie Niko km 1200 toka dsm,si uzuzu huo!Anaongeza mke sababu imani inamruhusu but hiyo iman inasemaje? Inasema uingie kwenye mahusiano na mme wa mtu mpk ipelekee ndoa yake iwe na migogoro na kupoteza aman halaf ndo uolewe mke wa pili?
Kampiga mkewe sababu alienda sehemu akajazwa maneno kuhusu Mimi,akarudi n mihasira home kwake ,akaanza fanya vurugu na kumtukana mumewe,mume akakasirika akampiga na kumwumiza vibaya.Wakati yote yanatokea mimi Niko mkoa mwingine mbali na dsm.Yaan jamaa yako kapigwa na mkewe au kapingwa?
Sio kupanga......tunayaona vizuri tu mbona unafoka? Sikujui unijui, Ila siku moja ataletwa mwingine ndo utajua ni kichaa ama wazimuHicho kichaa siwezi pata,nimetongonzwa,na jamaa amesema hataki kuzini anataka halalisha kwa kuwa dini inatuhusu,wewe Nani umpangie? mbona huongei kuhusu huyo mwanaume alonitongoza huku akijua Ana mke nyumbani.
Ndio maana mauaji ya kwenye ndoa yanazidi raha yangu mwenyewee nisubiri mahakama . Huyo Cath na huyo mke wamekutana pipa na mfuniko.Mkuu unatumia kinywaji gani? Hili liwe funzo kubwa sana.
Hata mume akiwa ICU kama talaka hakuna bado anahesabika ni mume tu.
Ndoa sio pete eti!? Hata iwe pete ya M100 bado ndoa ni makubaliano yamesainiwa na mashahidi juu mpaka mahakama ivunje ndio unaweza kuwa huru kudate nae.
Mkuu chukua 👊 afu shushia na 🍺🍺
Ndoa yako itakuwa na amani ya muda.......subiri kidogo utajioneaKampiga mkewe sababu alienda sehemu akajazwa maneno kuhusu Mimi,akarudi n mihasira home kwake ,akaanza fanya vurugu na kumtukana mumewe,mume akakasirika akampiga na kumwumiza vibaya.Wakati yote yanatokea mimi Niko mkoa mwingine mbali na dsm.
😂😂😂😂 Ooohhh kumbe ndio maana nlivoandika mambo ya cathy kuwa na mme wa mtu ukaja juu....sasa nimeijua sababu.Wanajifariji Hawa mwanaume alimpenda Cathy,hayo mengine story za vijiwen,mie mwenyewe nategemea kuolewa mke wa pili jamaa karidhia manake ya muislam,Ila inachelewa manake mkewe mkorofi ,aliambiwa Hilo akagoma,Ila jamaa bad Niko naye licha ya kupigwa na mkewe,na juzi tu jamaa kanipiga mkewe Hadi akapelekwa police na ndugu wa mke,Ila jamaa amesimamia msimamo ye ni muislam na anahitaj ongeza mke.
Sawa kila Zama na kitabu chake🙏🤷🏊Sio kupanga......tunayaona vizuri tu mbona unafoka? Sikujui unijui, Ila siku moja ataletwa mwingine ndo utajua ni kichaa ama wazimu
OohKampiga mkewe sababu alienda sehemu akajazwa maneno kuhusu Mimi,akarudi n mihasira home kwake ,akaanza fanya vurugu na kumtukana mumewe,mume akakasirika akampiga na kumwumiza vibaya.Wakati yote yanatokea mimi Niko mkoa mwingine mbali na dsm.
Mbona hapishi Sasa kutwa kugombana na mume kisa mtu aliye km 1200 toka alipo?jamaa kapenda Tena,moyo hauna limit ya kupenda.😂😂😂😂 Ooohhh kumbe ndio maana nlivoandika mambo ya cathy kuwa na mme wa mtu ukaja juu....sasa nimeijua sababu.
Kila laheri huko kwenye kuolewa mke wa pili mimi kama ndio huyo mke nakupisha kabisa ujimwage ukae kifua mbereeee...
Akinitambua yeye na ndugu zake inatosha🙏mie nadil na ninayelala naye uchi,ndio anayenihusu.Ooh
Nimekuelewa hakikisha anakuoa tu maana bila ndoa hutotambulika
Nitue bwana wikend hii,karibu nyama choma hapa mnadani.Ndoa yako itakuwa na amani ya muda.......subiri kidogo utajionea
Akinitambua yeye na ndugu zake inatosha[emoji120]mie nadil na ninayelala naye uchi,ndio anayenihusu.
Dini yake inatuhusu,tambua Hilo,siyo mroma huyu🙏🤷😂Enjoy ndg but itakurudia
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]Wanajifariji Hawa mwanaume alimpenda Cathy,hayo mengine story za vijiwen,mie mwenyewe nategemea kuolewa mke wa pili jamaa karidhia manake ya muislam,Ila inachelewa manake mkewe mkorofi ,aliambiwa Hilo akagoma,Ila jamaa bad Niko naye licha ya kupigwa na mkewe,na juzi tu jamaa kanipiga mkewe Hadi akapelekwa police na ndugu wa mke,Ila jamaa amesimamia msimamo ye ni muislam na anahitaj ongeza mke.