Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Umekosea kuquote....umenishtua!!!Kifupi ni kwamba wewe unatembea na mme wa mtu hizo excuse unazotoa hazina mashiko
Enjoy mama ila ujue akikuoa baada ya miaka mitatu atataman mwingine huko nje na migogoro na wewe itaanza na atakuwa anamweleza wa nje exactly anavyokweleza kuhusu mkewe
Na atakupiga kama anavyofanya sahiz kwa mkewe na atlst atamuoa kama alivyokuoa wewe (ukijifunza kula nyama ya mtu huwez kula mara moja)
Ana hasira nami,tatizo mioyo imekutana🤷🏃Umekosea kuquote....umenishtua!!!
Usitusahau ubwabwa best....Ana hasira nami,tatizo mioyo imekutana🤷🏃
Hapana Hana tabia ya kupiga,mwanamke ndo alimprovoke kwa maneno machafu na kashfa Kama zote,jamaa akashindwa jizuia,na Habari kanipa mdogo wake jamaa wa kiume,ambaye ananifahamu.Kifupi ni kwamba wewe unatembea na mme wa mtu hizo excuse unazotoa hazina mashiko
Enjoy mama ila ujue akikuoa baada ya miaka mitatu atataman mwingine huko nje na migogoro na wewe itaanza na atakuwa anamweleza wa nje exactly anavyokweleza kuhusu mkewe
Na atakupiga kama anavyofanya sahiz kwa mkewe na atlst atamuoa kama alivyokuoa wewe (ukijifunza kula nyama ya mtu huwez kula mara moja)
Duh hapo utajinafasi
Bi mkubwa analo asee, usingizi wake umepokonywa [emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Lakini kwa magige sio Mme wa mtu kawa sumu kwake na maziwa yamechacha sahizi umekuwa mtindiMke wa mtu ni sumu.
Mume wa mtu nu maziwa.
Tuishi humo tyuuh, hakna namna.
Wala hatuhitaj hizo mbwembwe,mapema kwa DC na mashahidi zetu,then tunarudi ofcn kuendelea na majukumu ya kazi.Usitusahau ubwabwa best....
Ana hasira nami,tatizo mioyo imekutana[emoji1745][emoji125]
Kumbe alive chukua mkwanja na kwenda olewa Arabia kesha rudi?Hakunaga mume wa MTU ktk mila na utamaduni wa waafrika. Mambo hayo yapo nchi za mashoga na wasagaji. Afrika tuna mume wa watu. Mwanaume anaruhusiwa kuwa na mke zaidi ya mmoja ili mradi awe na uwezo wa kuimudu familia yake. Tatizo wanawake wa sasa akishaongezewa mwenzake ana leta visa, fitina, hujuma, uzushi ugomvi hadi makaburini ili atambulike yeye tu. Rais mstaafu Mzee Mwinyi ana wake wawili Bibi Khadija na Sitti Mwinyi, Jacob Zuma wa South Africa wake wanne hakuna jipya, watu waheshimu mapenzi ya marehemu kila mwanamke apewe heshima yake. Mungu ndiye atahukumu khiyama kama mke zaidi ya mmoja hairuhusiwi na ataeleza why aliruhusu manabii wawe na mke zaidi ya mmoja ila hakuwahi kuruhusu ushoga.
View attachment 1801060
View attachment 1801061
View attachment 1801062
View attachment 1801063
Aaaaahhhh jamani bi mdogo weeeee ndoa ya mke wa pili na kuendelea yahitaji matashtiti, matarumbeta mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyumbaWala hatuhitaj hizo mbwembwe,mapema kwa DC na mashahidi zetu,then tunarudi ofcn kuendelea na majukumu ya kazi.
😂😂😂😂 Shemeji kama shemejiHapana Hana tabia ya kupiga,mwanamke ndo alimprovoke kwa maneno machafu na kashfa Kama zote,jamaa akashindwa jizuia,na Habari kanipa mdogo wake jamaa wa kiume,ambaye ananifahamu.
Sijawahi weka wazi alifuma meseji kwenye simu y mumewe ndo ugomvi ukaanza,n watu kumpelekea maneno,ila hatujawah mwonyesha hadharan,Wala kumdharau.Wala sina hasira na wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mm ni mme wa mtu na nina mchepuko pia[emoji23][emoji23]
Mimi najaribu kukuchana ukweli wewe kula huyo mme wa mtu kwa siri mkewe asijue maana inaondoa aman ya ile ndoa
Kula mme wa mtu sio kosa et unamsaidia mkewe maana ashazoea ile test ya k yake[emoji23][emoji23][emoji23] kikubwa jitahid iwe siri mkewe asijue na hata kama jamaa anataka kukuoa fanyen kwa siri kwanza mpk ufike wakat wa kuoana ndo muweke waz
Ila sahiz ukisema muoane hata watu watapinga maana wataona kama we ndo migogoro ya ile ndoa
Mie sio mtu wa Kiki,niligraduet chuo kikuu na hta mahafali sikuhudhuria,nikiwa na 4.4 gpa, kwenye chuo kinchotambulika ulimwenguni.Aaaaahhhh jamani bi mdogo weeeee ndoa ya mke wa pili na kuendelea yahitaji matashtiti, matarumbeta mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyumba
Waoooh jamani hongera, wewe ni super womanMie sio mtu wa Kiki,niligraduet chuo kikuu na hta mahafali sikuhudhuria,nikiwa na 4.4 gpa, kwenye chuo kinchotambulika ulimwenguni.
Wala mioyo imekutana tu,nishadate na kuzaa na wenye Mali na kampuni zao,ili niliondoka kimyakimya bila vurugu Wala ugomvi🙏go figure 🏊🏃⛹🏾♀️Waoooh jamani hongera, wewe ni super woman
Eeeh jamani mambo ni mengi hapa....nikajua kabinti kadogo kabichi, kumbe mkubwa mwenzie enhee kwahiyo hii sio ndoa ya kwanza na watoto pia unao???Wala mioyo imekutana tu,nishadate na kuzaa na wenye Mali na kampuni zao,ili niliondoka kimyakimya bila vurugu Wala ugomvi🙏go figure 🏊🏃⛹🏾♀️
Nope am 27 now,so am not that young and I have two baby boys for one man.Eeeh jamani mambo ni mengi hapa....nikajua kabinti kadogo kabichi, kumbe mkubwa mwenzie enhee kwahiyo hii sio ndoa ya kwanza na watoto pia unao???
witnessj mletee mwali mkeka akae, mambo yameanza upya.
Bado uko mdogo mdogo....baba mtoto nae vipi, kishaoa? Au yupo yupo mara chache anakuja kuona watoto na kuwaletea maparachichi?Nope am 27 now,so am not that young and I have two baby boys for one man.
Nope am 27 now,so am not that young and I have two baby boys for one man.