Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tayari kishaingia kwenye ukoo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mama yake mdogo baby K hana hamu kilichomkuta na Biso kanasa eti anatema mate si katupiga jamani mara hii??
[emoji23][emoji23] napika mwenyewe hizoAfu siku zinazobaki napika mimi?? Thubutuu!!
Punguza uchu dada abaki hekaheka za jikoni siziwezi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MtufundisheUbunifu muhimu Sana Kuna demu nilikuwa nampikia chakula anabaki kushangaa wiki mbili alizokula msosi wangu alipendeza Sana kiufupi chakula ni kitu muhimu kwa MAISHA ya binadamu sio busara Mwanamke kaolewa anaanza kuchukulia kawaida akiamini uchi wake ndo utampa Maisha .
Mtu anayekula vizuri kwanza anakuaga na furaha na tabasamu Sana sema wanawake hawajui
We si fundi pia?Mtufundishe
Hapana kawaida tuWe si fundi pia?
Lamomy mbona anakusifiaga sana[emoji23]Hapana kawaida tu
Hujamzoea huyo Sina lolote basi tu ππLamomy mbona anakusifiaga sana[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tayari kishaingia kwenye ukoo.
Sema ukoo wenu unapendwa sana, kila mtu atafanya namna aingie[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] napika mwenyewe hizo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani oddo akiyapata sijui itakuwaje?!!
Siku nitakayompa umbea nitamrecord usikie atakachosema
Udalalali au kubet?[emoji23]Naijua hiyo unamfukuza dada kijanja unikomeshe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Upike na kazi zako za udalali afanye nani?
Umefika mama wala usijali, mi najua kupika kwaio hata mwanamke asipojua kupika mi kwangu sawa tuu.
Umelelewa vizuri. Big up kwa wazazi wako. Wenzako ndo maana ndoa zinawashinda maana wanaoa ili wapikiwe chakula na kufuliwa nguo. Wa.atakiwa kuajiri wapishi...wamejaa tele na wamesomea fani hiyo.Umefika mama wala usijali, mi najua kupika kwaio hata mwanamke asipojua kupika mi kwangu sawa tuu.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kitawaka[emoji23]Sijui itakuwaje yani na nitashikwa umbea [emoji1787][emoji1787]
Oddo friji bovu haligandishi atamuendea hewani C kianze kitimtim
Udalali siwezi, mm acha niendelee kubet tu[emoji23]Sisy Joannah ndio alisema wewe dalali wa viwanja vya chalinze eti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πππDada angu kupika si tunajua lakini?[emoji23]