Wanawake jifunzeni Uzazi wa Mpango halafu kuweni Wastaarabu

Wanawake jifunzeni Uzazi wa Mpango halafu kuweni Wastaarabu

Chaliifrancisco

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
26,021
Reaction score
79,710
Wakuu hata salamu sitaki maana nina moto mbayaa.

Leo nilikua na kidate na manzi mmoja mtoto wa mashavuni nimemind flag long time kinyama ila ndio akawa anambwelesha kidizaini sema chalii ya bakta nikakaza niaje basi juzi kati tukapanga kuwa leo ndio tutakutana fasi za niaje tuendelee kuyajenga

Basi nimetoka zangu magero nimetupia zangu cadet ya khaki na shati yangu ya paisley nikadandia kifodi fasi ya Patel nitimbe zangu bakta mfukoni nna mbau ya ngama mara kituo ya mbele anapanda maza ana makid wabee ukicheki mmoko ndio kama anakaribia miaka bee na mwingine hata miezi foko hana

Mara maza ananiambia "kakaa naomba nishikie mtoto mmoja" nikaona yente tu haikatai kiroho safi nikamchukua huyu kidi wa karibia miaka bee nikampakata. Kifodi imetembee kiaina mara kido kasinzia kanilalia kwenye kidari akaanza kutema udenda kinyama mara daika chache nasikia kama moto yee kwenye boksa kumbe kidi ka download mzingo

Bahati nzuri ndio kifodi imefika Morombo hapo natakiwa niunge ndinga ingine niingine bakta kushuka pale naona shazi kiwaki maana cadet imechora ramani ya Oldonyosambu

Imebidi pale niingie dox moko nidake dogidogi la tenga dala refu kama kanzu ya Capchini ili ile ramani kwenye cadet ifunikwe hapo nikapata shot kwenye ile mbau ya ngamaa nikabaki na tenga kumnadala.

Nimemind mbaya ila yule mamla hata sikutaka kumsemesha maana bora hata angekuwa niyee hata ningechukua namba nimtafute one day nipunguze machungu lakini ni mnara tu manzi wa kiwaki tu. Bahati nafika site manzi hataki hata kinywaji nikadaka daso yangu ya buku bee hapa nimerudi gero na buku kumi baada ya nauli.

Nawaambia wanawake mtumie uzazi wa mpango maana kama yule mamla angefanya hivyo asingekuwa na haja ya kuomba kusaidiwa kubebewa mtoto kweny kifodi. Pia kuweni wastaarabu maana kama unajua unaweza kuomba kubebewa kidi kwenye kifodi basi nunua hata pampas mvalishe.

Namaindi mbayaa. Acheni uwaki.
 
Acha mambo za kiwaki mjuba ungekuwa hutaki kumsaidia ungekataa tu, we uzazi wake unakukera nini?

Halafu kwanza sahivi mambo yote level seat haya hii chai yako ni ya mwezi upi?
Ujue mimi nna roho ya kizungu ndio maana kinaona haina daz acha nimsave huyu mamlaa kumshikia kidi mmoko.

Sio chai maana kama huyu maza angemweka kidi kwenye seat si angelipia nauli ya mtu bese asee?
 
Nafikiri huu ni uzi wa watoto, ndio mtaelewana.
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Yechu tu mamalai. Ujumbe umefika fasi husika lakini.
 
@chaliifransisco mrejeshee pusha cha weed zake .. Vinginevyo utadata
Hamna dingii ni hasira tu zimenifanya nikaingia moto maana nimeminda mda wote kwenye date najihisi nanuka mikojo na ile dogidogi niliotupia kama kanzu ya kasisi dah sio mzuka wala nini.
 
Back
Top Bottom