Wanawake jifunzeni Uzazi wa Mpango halafu kuweni Wastaarabu

Wanawake jifunzeni Uzazi wa Mpango halafu kuweni Wastaarabu

Uwe unaandika vizuri Sasa unaandika langu za wahuni humu au una target group gani, maana kila aina la andishi Lina target watu flani.
Kwahiyo kwasababu huelewi ni uhuni sio!?
 
Acha mambo za kiwaki mjuba ungekuwa hutaki kumsaidia ungekataa tu, we uzazi wake unakukera nini?

Halafu kwanza sahivi mambo yote level seat haya hii chai yako ni ya mwezi upi?
Mamalai
 
Dah! Nimetoka kapa sijaelewa min -me
Kakutana na dada na watoto kwenye gari , akamsaidia kubeba mtoto mmoja, mara paap mtoto kamkojolea , kushuka ana ramani za mikojo kwenye suruali , akapata uchungu hata amtafuta yule dada mwenye mtoto amdinye lakini ni pisi butu .

Kwa hiyo kwa ushauri tumieni uzazi wa mpango msiwe na vitoto vingi kama vya sungura mnavyoshindwa kuvimudi hata kuvivika pampas.
 
Back
Top Bottom