cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Uwe unaandika vizuri Sasa unaandika langu za wahuni humu au una target group gani, maana kila aina la andishi Lina target watu flani.Kwahiyo mimi mhuni sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe unaandika vizuri Sasa unaandika langu za wahuni humu au una target group gani, maana kila aina la andishi Lina target watu flani.Kwahiyo mimi mhuni sio?
Kwahiyo kwasababu huelewi ni uhuni sio!?Uwe unaandika vizuri Sasa unaandika langu za wahuni humu au una target group gani, maana kila aina la andishi Lina target watu flani.
Kumbe hiki kilugha unakiweza Carleen.[emoji28] [emoji28]
Nashangaa kwanini mpaka sasa hujanishtua eti.!
Next time, ukiona lugha kama hizi niite nikutafasrie walaqhi'..(akiiona Jurajani hii nimeuwawa.)
😅 😅Kumbe hiki kilugha unakiweza Carleen.
Nitakuwa nakuita. Asante sana.
Unamchokoza mwenyekiti wa BAKITA. Ngoja aje.
Jana nimemind kinyama😅 😅
Usiniitie m/kiti wa BAKITA 'tazavali' sana.!
Utakielewa only if 'Chuga is your hood'..!
Sio kilugha bana hiki ni kama sheng tu tukiwa Kibera pande za NaiKumbe hiki kilugha unakiweza Carleen.
Nitakuwa nakuita. Asante sana.
Unamchokoza mwenyekiti wa BAKITA. Ngoja aje.
Haha.!Jana nimemind kinyama
HahahaHaikatai mamiloo ila ukitaka fanya mafeke day moko tubonge tukiwa ndichi tuna kwichikwichi ndo itakuwa yechu zaidi.
MamalaiAcha mambo za kiwaki mjuba ungekuwa hutaki kumsaidia ungekataa tu, we uzazi wake unakukera nini?
Halafu kwanza sahivi mambo yote level seat haya hii chai yako ni ya mwezi upi?
Chalii njoo ule chapatiHIvi umeanza kuwa mkuda lini?
Kakutana na dada na watoto kwenye gari , akamsaidia kubeba mtoto mmoja, mara paap mtoto kamkojolea , kushuka ana ramani za mikojo kwenye suruali , akapata uchungu hata amtafuta yule dada mwenye mtoto amdinye lakini ni pisi butu .Dah! Nimetoka kapa sijaelewa min -me
Kumbe huyu hamnazoo eeh😂akapata uchungu hata amtafuta yule dada mwenye mtoto amdinye lakini ni pisi butu .
kubali nikuoe nitakufundisha shengDah! Nimetoka kapa sijaelewa min -me
Huna adabu! Unioe kwani kaka zako hawapo?🤔kubali nikuoe nitakufundisha sheng
sina haki ya kuoa?Huna adabu! Unioe kwani kaka zako hawapo?🤔