Wanawake jifunzeni Uzazi wa Mpango halafu kuweni Wastaarabu

Wanawake jifunzeni Uzazi wa Mpango halafu kuweni Wastaarabu

Huu uandishi wa hivi kama ni mtihani unawekewa mkasi mkubwa basi Mwl hawezi soma hivi[emoji418]
 
Chalii inabidi utafute mpira wa kutembelea izi mambo za kusaidiana kwenye daladawise ni shazi sana, nakumbuka kuna siku maza mmoko alikua na mizigo shazi masta akaniomba nimsaidie kwakuwa tulikaa siti moja nikaona haina kabaya nikapokea mzigo. Acha kabisa nashukuru tu ilikua ni night maana ingekuwa aibu, ule mzigo zilikua samaki mbichi maji ya shombo yalichuruzika hadi kwenye kadet masta nilinuka kama samaki mkaliwade ila amani sana.
 
Napenda mtu anayeandika hivi aseee!

Ndio maana watu wa Arusha ndio ugonjwa wangu hakyanani
 
Chalii inabidi utafute mpira wa kutembelea izi mambo za kusaidiana kwenye daladawise ni shazi sana, nakumbuka kuna siku maza mmoko alikua na mizigo shazi masta akaniomba nimsaidie kwakuwa tulikaa siti moja nikaona haina kabaya nikapokea mzigo. Acha kabisa nashukuru tu ilikua ni night maana ingekuwa aibu, ule mzigo zilikua samaki mbichi maji ya shombo yalichuruzika hadi kwenye kadet masta nilinuka kama samaki mkaliwade ila amani sana.
Bablai hii mambo ni kwerekweche
 
😂😂😂😂😂😂
Siku tukiongea naomba uongee kiArusha hata kidogo

Serious nikisikia mtu anaongea hivyo hadi nyege zinakuja
Haikatai mamiloo ila ukitaka fanya mafeke day moko tubonge tukiwa ndichi tuna kwichikwichi ndo itakuwa yechu zaidi.
 
Back
Top Bottom