Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bablai hii mambo ni kwerekwecheChalii inabidi utafute mpira wa kutembelea izi mambo za kusaidiana kwenye daladawise ni shazi sana, nakumbuka kuna siku maza mmoko alikua na mizigo shazi masta akaniomba nimsaidie kwakuwa tulikaa siti moja nikaona haina kabaya nikapokea mzigo. Acha kabisa nashukuru tu ilikua ni night maana ingekuwa aibu, ule mzigo zilikua samaki mbichi maji ya shombo yalichuruzika hadi kwenye kadet masta nilinuka kama samaki mkaliwade ila amani sana.
Wewe siumenibania white mamalai ndio maana husikii hizi njaro za baktaNapenda mtu anayeandika hivi aseee!
Ndio maana watu wa Arusha ndio ugonjwa wangu hakyanani
Hahahahahh eti baktaWewe siumenibania white mamalai ndio maana husikii hizi njaro za bakta
Kweli nakuchana mamalaiHahahahahh eti bakta
Kweli nakuchana mamalai
Dingii kwani hapo hujaelewa nini?Ndio Kiswahili chenu watu wa Arusha hiki? Kazi sana.
Bakta ni townKwani bakta ni nini?
Chaliiangu Nimeandika nikafuta nikaandika nikafuta....
Daby naomba samari...
😂😂😂😂😂😂Bakta ni town
Haikatai mamiloo ila ukitaka fanya mafeke day moko tubonge tukiwa ndichi tuna kwichikwichi ndo itakuwa yechu zaidi.😂😂😂😂😂😂
Siku tukiongea naomba uongee kiArusha hata kidogo
Serious nikisikia mtu anaongea hivyo hadi nyege zinakuja
Haina kwere bablai 🤣Haikatai mamiloo ila ukitaka fanya mafeke day moko tubonge tukiwa ndichi tuna kwichikwichi ndo itakuwa yechu zaidi.
Bablai hii mambo ni kwerekweche
Kwahiyo mimi mhuni sio?Unaandika kihuni Sana au umeshavuta bonge imepanda kichwani?