Wanawake jifunzeni Uzazi wa Mpango halafu kuweni Wastaarabu

Wanawake jifunzeni Uzazi wa Mpango halafu kuweni Wastaarabu

Acha mambo za kiwaki mjuba ungekuwa hutaki kumsaidia ungekataa tu, we uzazi wake unakukera nini?

Halafu kwanza sahivi mambo yote level seat haya hii chai yako ni ya mwezi upi?
😄😄😄imekaa iyoo dr
 
chalii umezingua,kwa hiyo huyo mraka wa kishua hujapita naye!
 
chalii umezingua,kwa hiyo huyo mraka wa kishua hujapita naye!
Siunajua mamrax wa kimashavuni hawatakagi haraka chaliangu?

Sema sasa ile tukio imesababisha nikose point tatu maana kuvua ile paisley yangu na kuvaa dogidogi bwaku kama kanzu ya shemasi imenikata point kisoro.
 
Huey hawezi kufanya mambo kama haya jibu lake lingekua hili tu ....''Eeh"[emoji19]
Hamna imenikera mbayaa. Yani tokea naelekea fasi nilitamani kuweka uzi humu maana mimi hata huwa sina tabia ya kubandika humu lakini nimeona pia mtajifunza kufanta uzazi wa mpango.
 
Chaliiangu Nimeandika nikafuta nikaandika nikafuta....
Daby naomba samari...
Nimefurahi kukuona leo mamalai. Yani nilikua naenda date nikamsaidia dada mtoto kumbebea kwenye kidala alafu mtoto akanikojolea ikabidi ninunue shati refu sana kama kanzu ya kasisi hivyo nimepoteza point kisa huruma tu na kisa wanawake wengine hawatumii uzazi wa mpango na pia hawataki kuwa wastaarabu kuvalisha watoto pampas.
 
Nimefurahi kukuona leo mamalai. Yani nilikua naenda date nikamsaidia dada mtoto kumbebea kwenye kidala alafu mtoto akanikojolea ikabidi ninunue shati refu sana kama kanzu ya kasisi hivyo nimepoteza point kisa huruma tu na kisa wanawake wengine hawatumii uzazi wa mpango na pia hawataki kuwa wastaarabu kuvalisha watoto pampas.

Nipo, nimecheka kama mazuri, sasa una laumu nini uzazi mpango? Uchumi tu hapo...
Ukipata ki date kingine niambie nikuagizie Bolt au Uber...
 
Nipo, nimecheka kama mazuri, sasa una laumu nini uzazi mpango? Uchumi tu hapo...
Ukipata ki date kingine niambie nikuagizie Bolt au Uber...
Dah kweli inawezekana sababu ni kuwa nimelost kinyama ila next time nitawacheki wadau mnipe shavu hata ninyake hizo ubax.
 
Back
Top Bottom