Wanawake kunyeweni mtindi badala ya soda ni tiba

But hamna Mkoba ambao haunuki, cha msingi ni kuoga kabla ya tendo
Hata mkioga kuna mwengne unakuta anaumwa fangus au pid kwaiy ugonjwa uko ndani hata ukioga uchafu utaondk ule WA nje Tu lkn harufu haiwez kata mpka atibiwe ugonjwa ndy kiharufu kitaka.
 
Jamani jamani kwahiyo tumeze na vitunguu kama vidonge? Mbona mnaruvuruga huko tumboni kutatengeneza pilau sasa😀 ahsante lol
😂😂😂Ndiyo ikiwezekn kunywa kutwa mara tatu kama dozi kitilapia sijui kinini utakisikia Kwa jilani🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️
 
Wanawake kwa wanaume nawasihi Msinywe mtindi. Mtindi ni maziwa yaliyoharibika/chacha yaliyooza.
Ni sumu na sio nzuri kwa afya.

Ukitaka maziwa kunywa fresh yaliyopashwa.
 
Asante kwa kunipigia promo mleta uzi, nipo kiluvya madukani kwa bei za jumla na rejareja. Ukihitaji delivery tunakufanyia kwa gharama nafuu kuanzia lita tano na kuendelea. Hata hivyo, kwa ajili ya ku-boost immune yako, kung'arisha ngozi yako nk, karibu upate fresh milk.
 
Weka namba wakutafute
 
Wanaume tunywe I Sana pombe inasaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…