Wanawake kuomba pesa kwa wanaume kimekuwa kilio cha kitaifa

Wanawake kuomba pesa kwa wanaume kimekuwa kilio cha kitaifa

Dawa ya omba omba kama umemuelewa sana,mpe hela anayoomba na wew omba mbususu fasta,piga sepa au endelea kupiga lakin baada ya kupiga mpe hela pale unapojisikia.

Hii tabia yao imenifanya niishie kuwaangalia tu,wengine wanaleta mitego ila najifanya kama siioni,maana najua tu ukishaanza mawasiliano nae vizinga vya ajabu vinaanza
Aibu sana hawa ombaomba.
 
Achana nae kwan lazima kuwa nae akiomba hela mpige block

Huwez kumpangia mtu matumizi ya sehem zake za Siri
 
Sasa papuchi utapataje ?

Huwezipata 'utelezi wa asili' bila pesa, labda uje chaputa uku uje utumie utelezi wa 'artificial'
 
mkuu wengi wao wana majukumu ya kuhudumia familia zao kama ulikua hujui fuatilia, kama uwezo unao wasaidie tu utabarikiwa.
 
Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa

Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza

Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
 
Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa

Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza

Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Hapo ndo unatongozwa jiongeze wanaume hawatoi pesa kwa ke bila malengo ya kupewa tunda la kati ,hata asipokwambia tambua anakuzoom tu na usipojiongeza atakata ukaribu na wewe maana ni profitless
 
Kuna msemo wa kwamba Mwanaume ukiacha kumpa hell mwanamke wako unaachwa nawe mwanamke ukizidisha mizinga kwa mwanaume wako unaachwa vile vile.
Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa

Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza

Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
 
Mapenzi ya siku hizi yapo kama SIMBA na YANGA tu. Kumoja kukifurahi kwingine kunalia
 
Back
Top Bottom