Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Ewaaa...Kaka tuna akili sawa, huwa hata nikitoka kwenda mahali na-scan nyumba nzima na naweka alama zangu, nikirudi ntajua tuu kama kuna mtu kagusa kitu changu au katumia vitu vyangu, nakariri hadi level ya maji nilioacha kweny chupa ili mtu asije akaongeza kitu kibaya.
Inabidi uishi kama jasusi.
Mtag ndioooUnataka nimtag umuulize? Kwanza anajua silagi mayai πππ
Ila nikikuta korosho uongo mbaya namaliza zote..
πππ kwa kuwa unajua siwezi ndo maana unataka kunioneaMtag ndiooo
π€£π€£π€£πππ kwa kuwa unajua siwezi ndo maana unataka kunionea
Kuna wale wanaingia tu , unasikia hodi yupo ndani tayariiπ€£π€£Akisikia hodi πππ
Anagongewa location ingine!!Mie naendaga kwa Wifi enu nilimpangia huko. Kuna vitu vyangu nimeviset najua akija baharia mwingine lazima vihamishwe.
Kuna Suti zangu nimezitundika sehemu na juu kabatini nimeweka beg (briefcase) sasa nikienda huwa nakagua vumbi. Nikikuta hakuna Alama za vidole kwenye vumbi najua hakuna ngedere aliyekuja.
Na naendaga bila taarifa.
πππ haijapoaaπ€£π€£π€£
Pole sana
ππππhuyo ni wewe mkuu
Sio jersey tu Dadae kumbuka vizuri π.. halafu najua ni makusudikally tu...Ya kweli haya kakae? Afu nimekumbuka nilisahau jersey yangu kwenu Certified Hater
Not makusudically.. ni bahati mbaya.Sio jersey tu Dadae kumbuka vizuri π.. halafu najua ni makusudikally tu...
HapanaAvifuate ππ
Kuna day nafanya usafi goto nikakuta pichu of which sina taarifa kamili ni ya nani.Mimi siachi lakini ajabu alikuwa anaviomba vibaki hata nikisafiri viwepo hapo kwake na nikirudi navikuta na nikivichukua alikuwa hataki
Hata Hao waliokuwa wanaenda walikuwa wananijua kwaiyo hawaoni maajabu ,[emoji3][emoji3][emoji3]
Nikianza kumlipia kodi mtoto wa mama mkwe ajiandae kwa hiliYule dada alikuja na picha mbili za ukutani moja alibandika sebulen nyingine akaweka chumbani. Ya sebuleni ilikuwa ya fremu ya chumbani ilikua ukutani yaani ukiibandua inachanika.
Hatutaki kubeba nguo kila tukija so huwa tunaacha for the next visits mkuu. πKwanini uniachie nguo ambazo sizivai? π
Kujilinda na nini sasa dia???Kwanini sasa ulikuwa unaacha? Ni kujilinda au?
Sasa hzi ni Gani Tena πππAliyesema tuishi na mwanamke kwa akili hakukosea, Hawa viumbe wana mbinu nyingi za kivita Leo nawaletea hii moja iko hivii
Kuna mbinu imezuka mtu anakutembelea akitoka anaacha chochote, Hereni /khanga /Kyupi ππ
JAMAA YANGU ALALAMIKA, baada ya kuzagamuana na mrembo X, hakujua Kama aliacha hereni zake ndani kwake! Siku alivyokuja "main mazahausi tubii" akaanza kufanya usafi, timbwili likaanza. Alikutwa na ushahidi πππ
MIMI NILIKOSWAKOSWA, siku moja nilishangaa kukuta nguo isiyo yangu, kwenye kabati nikashangaa! Kumuuliza mhusika anasema kwani kuna shida?
AU ni njia ya ulinzi kwamba Y akiacha vitu vyake hategemei, mwanaume wake kuja na mwingine?
Eti ladies wa MMU mnaacha kwanini vitu mkitutembelea?mnavisahau au vipi? π mshawahi kusikia hilo? Na wazee wa masihara mshawahi kuachiwa vitu