Wanawake, kwanini mnaacha vitu vyenu mkitutembelea?

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Wanawake wa fm4 na darasa la saba ndiyo zao
 
Chapa ilale hafiki nyumbani kwangu. Nyumbani mamsapu wangu ana ufunguo wake, anajiendea muda atakao. Na ukiingia utajua tu nyumba hii ina mwanamke, nguo zake zipo wazi kabisa na sifichi.
Uzuri nawaambiaga nimeowa, kumbe senior bachelor.
 
Acha tu, CIA wanasubiri πŸ˜€
 
Chapa ilale hafiki nyumbani kwangu. Nyumbani mamsapu wangu ana ufunguo wake, anajiendea muda atakao. Na ukiingia utajua tu nyumba hii ina mwanamke, nguo zake zipo wazi kabisa na sifichi.
Uzuri nawaambiaga nimeowa, kumbe senior bachelor.
Swali ni kwamba kwanini anaacha nguo ilhali hujamuoa?
 
Nimetoka kugegeda nje nikarudie home kumbe nanukia pafumu ya mchepuka ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…