BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Yeah kwa inavyoonekana wapo tele.Wa aina hii baadhi yao wanapatikana hata humu pia Mkuu yaani wanachokiandika na uhalisia hata haviendani.
Hakika umewashauri vizuri Sana mkuuSad truth:
Men age like fine wines π· but bichez age like milk.
Dada angu akitokea boya mmoja anataka kukuoa usilete mapozi sijui unataka kula ujana, olewa ujana utaula ndoani.
Unatakiwa kujua, kwa mwenendo wa dunia ulivyo sasa, idadi ya wanaume wanaooa inaanza kupungua, kuoa imekua kama mzigo, hata hapa jf hii movement ya kataa ndoa imeanza juzi juzi tu(alarm igonge kichwani mwako binti)
Usiwasikilize mastaa sijui ma infuluensa utaishia kujuta maisha yako yote ukiwa peke yako in your 30s or 40s baridi inakupiga hupati hata msaada, katoto kamoja ulikozaa kwa kuwaiga mastaa wa insta unakuta hakana nyuma wala mbele kameamua kuwa ka shoga tu coz ya malezi.
Olewa leo hata kama mwanaume ni mshamba mvaa mashati ya kitenge, utambadilisha tu(naturally mwanamke ana power ya kumbadilisha mwanaume)
Chukueni hiyo nyie mademu wa humu
Mkiambiwa ukweli mnaanza kutapa tapa.Kaa kwa kutulia dawa ikuingieWanaume wa siku hizi mna midomo sana
Huyo ni boya mmoja Tu asiye na akili hata chembe.Mjinga Sana Yule mdadaMi sijui wanawake hua wana akili gani?
Kuna mmoja hapa alizalishwa na jamaa, baadae jama akampiga chini. Demu kahangaika na mtoto wake weee miaka kama minne akiwa singo maza.
Baadae sijui kilitokea nini akaamua kurudi tena kwa yule mwamba aliemzalisha. Mwamba kamtia mimba nyingine, demu kujifungua tu jamaa kampiga chini tena..!
Saivi demu hali yake ni mbaya kuliko ilivyokua mwanzo na watoto wawili juu.
Sema hapo kwenye mashati ya vitenge siyo pema ππππ bora nitembee kifua wazi kuliko kuvaa shati la kitenge ...sasa mkivaa vitenge wanaume je mashoga wavae nini .....vitenge ni vazi la watingisha makalio...Wanatuona sisi wavaa mashati ya vitenge kama wapenda vilivyooza
Sixty alafu sweety candyDah hii kali mie na sixty je sifai Mchagga Junior
Msasani mandazi loadSafi sana, Msasani mwisho/beach peninsula au msasani bonde la mpunga ?
Good morning mtaniIn 50cent voice. π€£π€£π€£
Ila mtani una mambo sana. Lol
Ndio kweli mtani naishinkwa matumaini...na hivi majuzi daktari wangu kasema nina miaka 2 tuu ya kuishi ππππHivi Mtani wangu hii ngoma unayoisemaga ni kweli hivi? π€
Ndo umuoe kwani shida iko wapi sa.
Wapi hujaelewa mama nikuelewesheMkuu ni kwamba hili swali lako sijalielewa ama vipi? π
Hapo kwenye kuoa nimekuelewa ila ulivyosema kwa nini ukae na mwanamke 30+ ndo nikashangaa?Wapi hujaelewa mama nikueleweshe
Jesus! Mpaka hapa umethibitisha kwanini una 34 na haujaolewa, niseme tu hapa unatuambia we ni malay* bila kusema malay*!Extrovert hivi tuwe tu wakweli mnavyo nanga akina sisi kwani nyie mnahela ambayo inamzidi babalevo ukiacha mwijaku mtu wakunisuta nikajutia maisha ni hao machawa atleast wanavipesa vya kuhongwa nawasani sio nyie mnapumulia gesi .
Nyumba uliyoijenga wewe inagharimu sh. Ngapi, kingine gari yako yakutembelea inagharibu sh. Ngapi yaani itanisumbua roho au watoto wako wanasoma shule ghali ya gani .
umewahi mnunulia mtoto wako gari maana aunt ezekieli anamemzawadia mtoto wake.mdogo gari .
Kuchelewa kuolewa sio nuksi but wanakutana na vilaza mwanaume anataka uparticipate kulea kitu alichokileta duniani.
Na hamjui kutunza familia unatunziwa familia how kwa kidogo mtu anapata ampe hadi.mwanaume ??
Ukijenga anakuja dai kuwa amekuoa nyumba muuze akale na malaya.
Hajui kuwa ulisotaje.kujenga nyumba na pia hata watoto wake hajali wataiishi wapi nyumba ikiuzwa . Hana muda nao wala hajui watoto wanakula nini .
Hivi mnadhani mtu tu aende kwa machizi kama hayoo . Maburee kabisa . LOH HAPANA . Ukiwa single ni bora kuliko mtu akuoe ukamtunze na watoto wake
Huenda ilikuwa mtandao ngoja nije pm tuyazungumze tukifika mwafaka nikustiriNifunge kisaa nani