Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Bongo hamna formula, anaweza kuwa na miaka 24 ila k ina experience ya kupondwa pondwa kwa miaka 10 mfululizo sasa wa hivi anakuwa na thamani gani kumzidi huyo wa 30+. Wavaa vitenge acheni kukuza mambo
 
Hakika umewashauri vizuri Sana mkuu
 
Huyo ni boya mmoja Tu asiye na akili hata chembe.Mjinga Sana Yule mdada
 
Wanatuona sisi wavaa mashati ya vitenge kama wapenda vilivyooza
Sema hapo kwenye mashati ya vitenge siyo pema πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„ bora nitembee kifua wazi kuliko kuvaa shati la kitenge ...sasa mkivaa vitenge wanaume je mashoga wavae nini .....vitenge ni vazi la watingisha makalio...
 
Tusifike huko,msiache kuwasitiri , inawezekana kuna sababu nyingi za kuchelewa kuolewa ikiwemo shule.........
 
πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ
Your browser is not able to display this video.
 
Nyuzi za hivi zinaweza kufanya mabinti zetu waanze kuishi Kwa stress na kujikuta wakiingia kwenye mahusiano kwa panic

Mabinti hakuna hurry kwenye hili

Take your time kuhakikisha unapata mtu sahihi kwenye mahusiano yenu

Kumbukeni mkikosea kupata mtu sahihi itakuja kuwa shida Kwa mtoto/watoto wenu utakaozaa naye huyo Mwanaume

Tafuta a responsible father's to your kids, hawa wa bora liende watakuja kushindwa kuwapeleka hata Shule watoto wenu
 
Wangu nimekutana naye ana 45yrs na natamba naye vema tu.
 
Hivi Mtani wangu hii ngoma unayoisemaga ni kweli hivi? πŸ€”

Ndo umuoe kwani shida iko wapi sa.
Ndio kweli mtani naishinkwa matumaini...na hivi majuzi daktari wangu kasema nina miaka 2 tuu ya kuishi 😭😭😭😭

Kwa kweli sowezi kumuoa maana ni 29 tayari alafu sio kwa ubaya, ila s hana tako.
 
Jesus! Mpaka hapa umethibitisha kwanini una 34 na haujaolewa, niseme tu hapa unatuambia we ni malay* bila kusema malay*!

Endeleeni kujipa moyo kwa huo umri ni aiza utafutwe na wagane,wanaume wa watu,vivulana au simps. Hakuna mwanaume mwenye akili timamu na financially stable aoe mwanamke mwenye miaka 34 na akili kama zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…