Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Tuache huu uhanithi wa kufungua uzi wa kuwakandia wanawake. Kwenye haya maisha kila mtu ana machaguo yake. Na huwa hakuna kuwahi wala kuchelewa. Bora mwanamke asiolewe kuliko ajiingize kwenye ndoa na mtu ambaye haendani naye.
Siyo kuwakandia.Ni kuwapa alerts wawe makini na mienendo yao.Be patient!
 
wanawake kuanzia umri wa miaka 16-24 mjifunze kitu hapa, mkiwa ktk UBORA wenu huwa mnatudharau sana ma-HU$TLER's. mnafanya WRONG selection at RIGHT time, kama siyo kuruka mkojo na kukanyaga nnya ninini?
unamkataa
MTAFUTAJI,
unamshobokea
BI$HOO, anakut*mba wee! Kei ikitepeta anakutema km big G.
shauri lenu, mabinti vigoli mnaopevuka, chukueni tahadhari kuna cha kujifunza hapa.
 
Mmesikia hiyo nyie kina Kelsea Aaliyyah mzabzab nataka niwaoe nyie mnajidai chagua chagua haya yangu macho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…