Mzee Kijana
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 1,442
- 1,140
Navutiwa na waliooa, wasiooa wanipitie mbali kwa kweli
Kwanini madame?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Navutiwa na waliooa, wasiooa wanipitie mbali kwa kweli
Akili imetulia.. Na kwasababu wote mpo kwenye ndoa mnaendana kwa story na changamoto, mnafarijiana.Kwanini madame?
Akili imetulia.. Na kwasababu wote mpo kwenye ndoa mnaendana kwa story na changamoto, mnafarijiana.
Anaelewa vizuri mipaka yako na wewe unaelewa mipaka yake.
Game pia wanaielewa!
Hii ni research nimefanya kwa wanawake wengi. Sijiongelei mimi tehUpo vizuri madame.
Je kama analipwa?Mimi Mke wangu simrindi ila nikimfumia na nwanaume mwingine aisee ndoa hapohapo inaishiaaa...
Yani Mimi nipo busy kutafuta pesa yeye akagawe papuchi bure tuuu hahahaa
CHUKUA TIME
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani wewe huwa unasema unatoaaaa, ile kitu ni ya siri haitakiwi isemweUnadhani watasema kiwa wanatoaga...kila atakaechangia atakwambia anajiheshimu hatoi nje
umeuliza vizuriJe kama analipwa?
duuuh madame unakosea, walioa wako occupied tafuta wa kwako pulizeeeeNavutiwa na waliooa, wasiooa wanipitie mbali kwa kweli
hahahahaha nimecheka kweli kusikia faida na hasara.Mwanaume anaweza kuwa na wanawake zaidi ya moja na jamii ikajua na kusiwe na tatizo
Mwanamke anaweza kuwa na wanaume zaid ya wawili ila jamii ikijua ni tatizo.
Nadhani kila mtu aenjoy faida na hasara ya jinsia yake kulingana na jamii yake.
Poa ila sizani kama nitapata jibuumeuliza vizuri
akikujibu nistue
ngoja tusubiri maana kajichanganyaPoa ila sizani kama nitapata jibu
Wenyewe hao watafutaji. Hebu waambie watulieduuuh madame unakosea, walioa wako occupied tafuta wa kwako pulizeeee
you made my time demi, I love youWenyewe hao watafutaji. Hebu waambie watulie
Kweli hata mm sikutegemea kuona comment kama ilengoja tusubiri maana kajichanganya
Ha ha haaa asante mwaya. Love you too my dear.you made my time demi, I love you
cool acha wajue ile comment yako na watulieHa ha haaa asante mwaya. Love you too my dear.
ni wale ambao hawana girlfriend au wife, huwez toa comment kama ile kwa akili tu hata za darasa la kwanzaKweli hata mm sikutegemea kuona comment kama ile