makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Mkuu! Nina mchukulia mwanamke kama kiumbe Cha thamani sana.Nini tatizo mkuu makutupora
Nikiona anajishusha thamanii naumia Mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu! Nina mchukulia mwanamke kama kiumbe Cha thamani sana.Nini tatizo mkuu makutupora
Afanye sandakalawe itakapodundia tunaichapa hapohapo!..😁Lazima ukose maamuzi,. Watu5 sio mchezo
Hapo kwenye kuomba Mungu ndio napopataka sijui kwanini nashindwa kuomba ni kama siwezi nikijaribu najikuta nacheka like seriously mimi huyo wa kuomba mume sijui what is happening to mimiKundi ni kubwa mama , hapo unaweza ukajichanganya asee ! Wapunguze kwanza angalau ubakize wawili tu ndo ulinganishe vigezo ! Upite na mmoja wao !
Lakini na wewe pia ni kama hujui unataka nini na kigezo chako kikuu ni kipi kuna mmoja unampenda kuliko wote hapo bhana kama ndo mzinguaji basi wateme hao wengine na yeye mteme anza upya
🤣🤣
Anyway omba Mungu akupe macho ya rohoni ! Ndoa ukiyakanyaga asee utalia, utanuna , roho itajikunja utajuta !!
Kweli Ni viumbe wa thamani lakin Kuna mda hawaelewekiMkuu! Nina mchukulia mwanamke kama kiumbe Cha thamani sana.
Nikiona anajishusha thamanii naumia Mimi
Mda mwingine miroho ya watu tofauti tofauti inakuwa inakufunga huwezi kufanya lolote la maana,. Utatumikaaa weee mwisho wa siku wote wanakuachaAfanye sandakalawe itakapodundia tunaichapa hapohapo!..😁
Kwani hapo mkuu kuna sehemu nimejishusha thamaniMkuu! Nina mchukulia mwanamke kama kiumbe Cha thamani sana.
Nikiona anajishusha thamanii naumia Mimi
😅 miroho iambiwe iache uroho!Mda mwingine miroho ya watu tofauti tofauti inakuwa inakufunga huwezi kufanya lolote la maana,. Utatumikaaa weee mwisho wa siku wote wanakuacha
Haha,. Namaanisha spirits😂😂😂😅 miroho iambiwe iache uroho!
anhaa! samahani ngoja niondoke tu hapa nisiendelee kujidharirisha!..😀Haha,. Namaanisha spirits😂😂😂
Nimetulia mkuu sema ndio hivyo sielewi.. nimeringaringa huko nyuma kuolewa naogopa na safari hii kama ndio watakuwa wa mwisho hawa halafu na mimi niwe mmoja wa wale wa kushinda kwa mwamposa😂😂😂
Mwanamke wewe tulia na uliza kichwa.. Utadumbukia pabaya ni kama unataka iweje wee mwenyewe.. Mwili wako usije onyesha kila mtu kisa huyo eti wiki mbili tu..
Ya backup wanaume wengi humu lazima umewaweza... 🤣🤣🤣🤣 Sasa nae unaona hafai... Tulia tulia kaa mbali na wanaume kwa muda uji tafakari.. Maumivu ya huyo aliye nyama za yakutoke kwanza.
Hujafika kwenye ndoa.. Tayari unataka ndoa na upo hivyo!!!!! .. Tulia
Mtu hauna uhusiano nae anataka kukupa, embu tuambie unawaambia nini naona kama upo kidesperado aka kicheche unawaonyesha Tamara ya kutolewa ila haufunguki huku kiuwekli.
Tulia bana miguu kwa sasa.. Ukisali mwema akujie utajua tu na utaolewa.
Zishapanda kichwani au sio😂😂anhaa! samahani ngoja niondoke tu hapa nisiendelee kujidharirisha!..😀
Mimi mkuu siwezi hayo mahusiano ya kumbembeleza mwanaume sijifeel good what i know ni kuwa mwanaume anitake sana na mimi nimtake yaani tutakaneeEndelea kumbembeleza huyo unaempenda utakuja kunishukuru
Nifundishe kuomba basi kuhusu kujua yupi sahihi mimi nashindwaKaa chini tulia,. Omba Mungu namaanisha sali sana ili Uweze kuona yupi ni sahihi na ufanye maamuzi
Kingine usiogope sana kiasi cha kuwaza huko mbele itakuwaje,. Hiyo ni fear of Unknown wachana nayo kabisa,. Mambo yakibadilika na wewe utabadilikaga tu huko mbele maisha mafupi haya
Ooh una maana ni ruke na yoyoteEndeleee I kuchagua tu ...mwenzenu huku mwisho ana watoto watatu na kila mtu babaake na wawili ni jobless... Endelea kuchagua mama... Upigwe mbupu mpaka ichakae kama utumbo kitabu....
Sawa mkuu.. napojilipua tu niombee kuwe kwemaKama ni mechi ipo dk ya 90 mpo 0~0,alafu unapata penalt,hapo ni wewe tu uweke kambani au upaishe,kati ya hao angalia ambaye yupo serious JILIPUE