Wanawake mlioolewa na wale msiowategemea mliwezaje

Wanawake mlioolewa na wale msiowategemea mliwezaje

Kundi ni kubwa mama , hapo unaweza ukajichanganya asee ! Wapunguze kwanza angalau ubakize wawili tu ndo ulinganishe vigezo ! Upite na mmoja wao !
Lakini na wewe pia ni kama hujui unataka nini na kigezo chako kikuu ni kipi kuna mmoja unampenda kuliko wote hapo bhana kama ndo mzinguaji basi wateme hao wengine na yeye mteme anza upya
🤣🤣
Anyway omba Mungu akupe macho ya rohoni ! Ndoa ukiyakanyaga asee utalia, utanuna , roho itajikunja utajuta !!
Hapo kwenye kuomba Mungu ndio napopataka sijui kwanini nashindwa kuomba ni kama siwezi nikijaribu najikuta nacheka like seriously mimi huyo wa kuomba mume sijui what is happening to mimi
 
Afanye sandakalawe itakapodundia tunaichapa hapohapo!..😁
Mda mwingine miroho ya watu tofauti tofauti inakuwa inakufunga huwezi kufanya lolote la maana,. Utatumikaaa weee mwisho wa siku wote wanakuacha
 
😂😂😂

Mwanamke wewe tulia na uliza kichwa.. Utadumbukia pabaya ni kama unataka iweje wee mwenyewe.. Mwili wako usije onyesha kila mtu kisa huyo eti wiki mbili tu..

Ya backup wanaume wengi humu lazima umewaweza... 🤣🤣🤣🤣 Sasa nae unaona hafai... Tulia tulia kaa mbali na wanaume kwa muda uji tafakari.. Maumivu ya huyo aliye nyama za yakutoke kwanza.

Hujafika kwenye ndoa.. Tayari unataka ndoa na upo hivyo!!!!! .. Tulia

Mtu hauna uhusiano nae anataka kukupa, embu tuambie unawaambia nini naona kama upo kidesperado aka kicheche unawaonyesha Tamara ya kutolewa ila haufunguki huku kiuwekli.

Tulia bana miguu kwa sasa.. Ukisali mwema akujie utajua tu na utaolewa.
Nimetulia mkuu sema ndio hivyo sielewi.. nimeringaringa huko nyuma kuolewa naogopa na safari hii kama ndio watakuwa wa mwisho hawa halafu na mimi niwe mmoja wa wale wa kushinda kwa mwamposa
 
Kama ni mechi ipo dk ya 90 mpo 0~0,alafu unapata penalt,hapo ni wewe tu uweke kambani au upaishe,kati ya hao angalia ambaye yupo serious JILIPUE
 
Kaa chini tulia,. Omba Mungu namaanisha sali sana ili Uweze kuona yupi ni sahihi na ufanye maamuzi

Kingine usiogope sana kiasi cha kuwaza huko mbele itakuwaje,. Hiyo ni fear of Unknown wachana nayo kabisa,. Mambo yakibadilika na wewe utabadilikaga tu huko mbele maisha mafupi haya
Nifundishe kuomba basi kuhusu kujua yupi sahihi mimi nashindwa
 
Endeleee I kuchagua tu ...mwenzenu huku mwisho ana watoto watatu na kila mtu babaake na wawili ni jobless... Endelea kuchagua mama... Upigwe mbupu mpaka ichakae kama utumbo kitabu....
 
Endeleee I kuchagua tu ...mwenzenu huku mwisho ana watoto watatu na kila mtu babaake na wawili ni jobless... Endelea kuchagua mama... Upigwe mbupu mpaka ichakae kama utumbo kitabu....
Ooh una maana ni ruke na yoyote
 
Umeshasema upo kwenye mahusiano ambayo hujui yanahusiana na nini,ila bado unataka kuolewa alooh
 
Back
Top Bottom