Wanawake mlioolewa una ujasiri wa kukataa kuchepuka na ex wako?

Simkumbuki hata sura wala Sauti .Delete highlights and trash
 
Mimi I’m like that ,ninasahau completely na sikimbuki hata kidogo .Its over im
Done have a nice day byeee.
 
Kwan unafikiri unatangaziwa kuwa twende tukapashe kiporo? Yaani kirafiki tu mnasalimiana mwisho unajikuta umeliwa tayari sema tu hawajaamua bhana, namna pekee yakwepa nikukaa nao mbali tu hata mawasiliano hayatakiwi, yaani mkikutana muwe strangers tofauti na hapo utaliwa hase
 
Mimi I’m like that ,ninasahau completely na sikimbuki hata kidogo .Its over im
Done have a nice day byeee.
Yaaaan kuna watu et hawaamini km tunasahau n we don't gv a damn s***t.
 
Mmh basi makubwa!Salam then unaliwa.mi sijawai ata onana nao.na hata ikitokea nikaonana nao there won't be any kitu itaendelea.sijui km umenielewa niliposema ata wao hawawezi thubutu kuzungumzia huo upupu wa kupasha kiporo.coz they Kno mi vere welle
 
Mmh basi makubwa!Salam then unaliwa.mi sijawai ata onana nao.na hata ikitokea nikaonana nao there won't be any kitu itaendelea.sijui km umenielewa niliposema ata wao hawawezi thubutu kuzungumzia huo upupu wa kupasha kiporo.coz they Kno mi vere welle
Wapo waliokuwa kama ww leo hii wamesahau waume zao wameenda kwa ma ex, ok bhana
 
Shukran sana nfugu yangu

Wajua hakuna kinachoshindikana chini ya jua kama tukiamua kukifanya kwa nia thabiti
wanawake wenye kuhifadhi tupu zao kwa ajili ya waume zao tu watapata ujira mkubwa yawumul hisabu so hongera kwa hilo madam s
 

Bakiza akiba ya maneno
 
Biashara ikiisha imeishaaaa hamna cha kupasha kiporo bab
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…