Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]aisee hii mpyaNa sidiria hawafui yaani zinakua chafu hadi zinachachua chuchu....yaani chuchu unanyonya chuchu kama Limao.
Kweli watu ni tofauti sana ya munooo!! wenzako wakiliona tu wig!!...oombo inasimama wima!! ukikaribia harufu ile unapigwa weeee mpaka asubuhi!! sema tukusaidie nini?Mbna huyo ni mtu mmoja! Sema id 2 tofauti!
Sitaki 😁🤣Irudishe avatar yko mkuu! 😂
Sijaona mie jomoneee.
Muda wa prepo huu dogo achana na simu 😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we nae khaaaah.
Mie sio mwanafunzi.Muda wa prepo huu dogo achana na simu [emoji28]
Hiyo picha.Hujaona nini coca?
Inasikitisha sana aisehJamani baadhi ya wanawake tena sio baadhi asilimia kubwa muoshe, mfue au muwe mnaanika mawigi yenu.
Kuna dada mbele yangu hpa ATM foleni wigi lake linatema balaa! Yaani nahisi halijafuliwa mwezi mzima. Mpaka yale ma nzi makubwa yameshaanza kuzungukia hapa. Khaa! This is too much now!