secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Mwache huyo boya amezoea kupigwa miti na ni mpumbavu.Wewe ni mwanaume unatamani ama unapenda mwanaume wenzako awe mrefu ili iweje, akupige miti?
Hakuna mtu anachagua mzazi, ufupi ama urefu ni matokeo makubwa sana ya urithi kutoka kwa wazazi. Hakuna mtu anapenda kuwa mfupi kama ingekua uchaguzi wake.
Inashangaza mwanaume kuvutiwa na wanaume warefu.Kwahy jamaa ww hua unavutiwa na wanaume warefu tuu?
Unajisifu kumkojoza mke wa mtu, mmmmh.Kuna mama mmoja mrefu mimi nikisimama naye nipo mabegani. Basi bwana nikamtokea akawa anawaza huyu asije nichezea mimi 😂 😂 😂 😂.
Nilipiga machine Haji kusahau. Kwa mara ya kwanza akakojoa. Siku moja nikaenda mkoa mmoja nikampiga full night stand, kitanda kililoa kila mahali, meza ikalowa, chini pameloa, yaani wahudumu walipata shida that day. Kidogo atoke na chupi mkononi. Ananiheshimu hatari. Leo nimekuja mkoani kwako wacha alie maji yamejaa anataka kuyatoa. 😂 😂 Mmewe ni mrefu kumzidi hajawahi mkojoza.
Sasa nyie wenye sifa hsmjawahi kunjwa mkaona utamu uliko. Jichanganye acheni dharau 😂 😂 😂 😂
Sasa toa ushauri tufanyeje turefuke ili ukituangalia tusikuudhi? Tusaidie wenzenu tunatia huruma halafu tunawakera ñyie warefu halafu hatuvutii wanawake.Aisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Binadamu ni segregative sanaBado hazijaja shuhuda za kutukandamiza wafupi
Jaman,bado mnahitajika sana...Sasa toa ushauri tufanyeje turefuke ili ukituangalia tusikuudhi? Tusaidie wenzenu tunatia huruma halafu tunawakera ñyie warefu halafu hatuvutii wanawake.
Wenzetu mnafaidi sana kupendwa na pisi kali. Hongereni sana kwa kweli.
Ukiona hivyo alishapigwa naoKwahy jamaa ww hua unavutiwa na wanaume warefu tuu?
Umejuaje hatulingani mkuuUwe na adabu aisee hatulingani kabisa heshima iwepo
Kwa nini mnatuchukia hivyo "sisi" long persons kwa kwenda chini?Mola aturehemu!🙏😎Aisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Kwahiyo wewe ni mwanaume na unapenda wanaume warefu. Sasa unawapendea nini? Funguka mkuu wape wanawake uzoefu elimu haiishiAisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Mmmmh we mbona mlingoti sasaunalingana urefu namimi kabisa
Mtu ashavuliwa ubingwaMwanaume anaanzisha Uzi kuwa havutiwi na wanaume wafupi daah 😄😄
Dunia inaelekea wapi?
Uanaume unaelekea wapi?
Vijana wa hovyo wamekuharibu pole sanaNilitamani kukutukana sana ila sheria za JF haziruhusu nimekaa kimyaa
Na unapenda wanaume warefu hutaki wanawakeSiwezi kuwa mfupi ata iweje mimi ni tall pole
🤣🤣🤣🤣 TALL, DARK AND HANDSOME 🤣🤣🤣Kwahy jamaa ww hua unavutiwa na wanaume warefu tuu?
Kwa hiyo na wewe unavutiwa na wanaume warefu aiseeSio wanaume tu. Hata videmu vifupi havivutii, Vitatisha tisha mpaki vifike 25 beyong that vnakua vifutu
Vipi mkuu nawewe unawapendea nini wanaume warefu?Mmmmh we mbona mlingoti sasa