Wanawake mna haki ya kutopenda Wanaume wafupi

Hana kosa, watu wakiwaona kwa mbali watamwelewa vibaya kuwa anatembea na mwanafunzi.
 
Wewe ni mwanaume unatamani ama unapenda mwanaume wenzako awe mrefu ili iweje, akupige miti?

Hakuna mtu anachagua mzazi, ufupi ama urefu ni matokeo makubwa sana ya urithi kutoka kwa wazazi. Hakuna mtu anapenda kuwa mfupi kama ingekua uchaguzi wake.
Hatari sana 😀😀
 
tunakubali kuna watu wafupi wenye hekma ila siyo huyu boss wangu anakera hivi hawa watu kwanin serikali inawaamino nakuwapa nyadhifa kubwa? Hili nalo wakalitizame.
 
Aisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Hebu weka picha ya kale ka Emoro alikoangukia Miss Natafuta? Baada ya kupigwa vumbi miaka 10 bila bila imebidi achukue chochote kilichokuja mbele yake!
 
Mwisho wa siku wote wafupi kwa warefu mko fungu moja tu,Oksijeni tunayovuta ni moja.
Ila warefu wanafaidi maana wanapendwa na wanawake. Kuvuta oxygen pamoja siyo kufaidi ni kuishi tuu.
 
Ah wee bwana mie hela ipo wee nipe namba nikutumie hela uje. Vipi nikuoe na ya shopping kabisa ukanunue crop top na leggings plus high heels mtoto uonekane sexy
Awww, 🥰 yo' sooo shwittttyy kijeba wangu jomoniii 😂tuma tuu na ya shopping, Mimi tall ntavaa tuu flat babe ili nisikuzidi zaidi urefu,au unasemaje? Ila tajiri ukisema nivae kata platform ntavaa🥰
 
Ila warefu wanafaidi maana wanapendwa na wanawake. Kuvuta oxygen pamoja siyo kufaidi ni kuishi tuu.
Kwa maisha kuna starehe nyingi sana...inategemea wewe umeipa kipaumbele starehe gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…