Wanawake mnachukuliaje kutoka na wanaume waliowazidi umri kwa miaka 15, ila siyo wababu?

Huyo alijua mzee atamjengea nyumba mzee akishamzalia,kifupi ali betπŸ˜ƒ
 
Wa mikoani🀨
 
Sasa we una 35 mbona mbichi kabisa wanaume wenye 40 kuenndelea wapo wenye miili ya mazoezi hawana mavitambi,wazuri ,akili zao zimetulia,kitandani watamu sana,wanadekeza ,
Nishawah date na vijana aisee sijawah enjoy kabisa na siwez rudia makosa
Wala sio pesa tunawapenda tu sana japo unakuta wapo vizuri kifedha pia
 
Nani alikwambia ile kitu pale inaangalia age distance who told you that? Tena ukiwa na umri mkubwa ndio inafit vizuri yaan inabana au umezoea kucheza na majaba pa pa pa pwa

Pardon my language

Nitarudi..
 

Hadi nimejisikia raha na amani[emoji3590] vijana kimasharukhani kunakipindi walitutesa banna[emoji16]
 
Embu kula mbususa acha zako Sasa unatak kumuoa nani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nikikumbuka juzi kati hapa alipita binti kama miaka 18 nkampa hi nkamwambia njoo uniambie jina lok, ghafla kakajibu, "siji! We mkubwa hivo?" Af kakachora. Roho iliuma kwakweli.. subiri nfike 40 nijarib tena
[emoji23] pole yako
 
kama umevuka 30 vijana hutowaweza, kamwe huwezi kucompete na mademu wa 19-24.
 
Nikikumbuka juzi kati hapa alipita binti kama miaka 18 nkampa hi nkamwambia njoo uniambie jina lok, ghafla kakajibu, "siji! We mkubwa hivo?" Af kakachora. Roho iliuma kwakweli.. subiri nfike 40 nijarib tena
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Acha kutongoza vitoto vya primary
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…