Wanawake mnaoangalia pesa mnatutesa sana wanaume. Mtalaaniwa

Wanawake mnaoangalia pesa mnatutesa sana wanaume. Mtalaaniwa

Hali bado sio nzuri kwetu wanaume kama bado wanawake mtaendelea na msimamo wenu ule ule kuangalia mwanamme una nini au unafanya kazi gani naona mwisho wenu utakuwa mbaya zaidi.

Mmevunja mahusiano mengi kwa dharau zenu na viburi sababu kuu ni mwanaume hana kipato unachotaka mmetuacha na maumivu makali sana kwa sababu mnataka mambo makubwa na mtelemko.

Wapo wengine waliovunja mahusiano sababu wanaamini ukimvumilia mwaname ambaye bado anatafuta akija kupata atakudharau hii dhana itaendelea kuwakost wanawake mtaishia pabaya ndo nyinyi tunakuja kuwaona makanisani mnaombewa ili kupata mume mwema.

Acheni tabia hii ya kuchagua wanaume wewe mwanamke ndo inabidi mpatie support mchumba wake Aje kuwa mume bora au baba bora kiuchumi usisubiri mtu kajiangaikia na maisha kaja kufanikiwa tena kama ni mume wa mtu wewe ndo ujilete dada utaishia kuwa single mother.
Kupanga ni kuchagua sheikh...kwenye haya maisha kila mtu ana jambo analolipenda. Hata wewe hauchukui mwanamke yeyote tu maadam ana k ...uuna vigezo vyako mahsusi. Sasa kwa nini iwe nongwa mwanamke akiweka standard zake?
 
Ingekuwa tunapotongozana na vyombo vinakuwa nje wallah ndoa nyingi zingekuwa na aman.Tatizo tunaogopa naweza kukubali kuwa nawe ivoivo na umaskini wako afu kumbe na ndefu hujajaaliwa,ko ni bora tuangalie uchumi kwanza kama yaliyomo hayamo bas nitavumilia na si kukosa vyote
 
Ingekuwa tunapotongozana na vyombo vinakuwa nje wallah ndoa nyingi zingekuwa na aman.Tatizo tunaogopa naweza kukubali kuwa nawe ivoivo na umaskini wako afu kumbe na ndefu hujajaaliwa,ko ni bora tuangalie uchumi kwanza kama yaliyomo hayamo bas nitavumilia na si kukosa vyote
Mushedede muhimu au sio
 
Hali bado sio nzuri kwetu wanaume kama bado wanawake mtaendelea na msimamo wenu ule ule kuangalia mwanamme una nini au unafanya kazi gani naona mwisho wenu utakuwa mbaya zaidi.

Mmevunja mahusiano mengi kwa dharau zenu na viburi sababu kuu ni mwanaume hana kipato unachotaka mmetuacha na maumivu makali sana kwa sababu mnataka mambo makubwa na mtelemko.

Wapo wengine waliovunja mahusiano sababu wanaamini ukimvumilia mwaname ambaye bado anatafuta akija kupata atakudharau hii dhana itaendelea kuwakost wanawake mtaishia pabaya ndo nyinyi tunakuja kuwaona makanisani mnaombewa ili kupata mume mwema.

Acheni tabia hii ya kuchagua wanaume wewe mwanamke ndo inabidi mpatie support mchumba wake Aje kuwa mume bora au baba bora kiuchumi usisubiri mtu kajiangaikia na maisha kaja kufanikiwa tena kama ni mume wa mtu wewe ndo ujilete dada utaishia kuwa single mother.
Tuchukulie kwasasa wewe ni mwanamke au ungezaliwa mwanamke ungependa huwe na mtu masikini au mwenye pesa.Acha kulialia kama ndama aliyepoteza mama yake cha msingi ni kusaka ngawila.
 
Kupanga ni kuchagua sheikh...kwenye haya maisha kila mtu ana jambo analolipenda. Hata wewe hauchukui mwanamke yeyote tu maadam ana k ...uuna vigezo vyako mahsusi. Sasa kwa nini iwe nongwa mwanamke akiweka standard zake?
Mrembo ulipoteamo sana nimekumiss sana
 
Ingekuwa tunapotongozana na vyombo vinakuwa nje wallah ndoa nyingi zingekuwa na aman.Tatizo tunaogopa naweza kukubali kuwa nawe ivoivo na umaskini wako afu kumbe na ndefu hujajaaliwa,ko ni bora tuangalie uchumi kwanza kama yaliyomo hayamo bas nitavumilia na si kukosa vyote
Kwa akili hizi safari bado ni ndefu walahi🤓
 
Hii isiwe excuse ya kutokutafuta pesa. Ila upendo uongezeke juu ya wapendanao.. Kuaminiana na kupeana support. Kufarijiana pia.

Kikubwa zaidi Imani iwe juu Yao.

kazi na ibada. View attachment 1766248
Watu wanamchukulia Obama kama hero wakati USA huwezi kosa kazi ya kujikimu kula,kulipa kodi na savings uwe umesoma au la pia hamna kulipa ada za watoto shule. Kule ukila na kulala kwa shemeji yako jua umependa mwenyewe tu.
 
Ingekuwa tunapotongozana na vyombo vinakuwa nje wallah ndoa nyingi zingekuwa na aman.Tatizo tunaogopa naweza kukubali kuwa nawe ivoivo na umaskini wako afu kumbe na ndefu hujajaaliwa,ko ni bora tuangalie uchumi kwanza kama yaliyomo hayamo bas nitavumilia na si kukosa vyote
Unapenda mb** ndefu?
 
Watu wanamchukulia Obama kama hero wakati USA huwezi kosa kazi ya kujikimu kula,kulipa kodi na savings uwe umesoma au la pia hamna kulipa ada za watoto shule. Kule ukila na kulala kwa shemeji yako jua umependa mwenyewe tu.
Vipi kuhusu homeless ??
 
Back
Top Bottom