Wanawake mnaoangalia pesa mnatutesa sana wanaume. Mtalaaniwa

Wanawake mnaoangalia pesa mnatutesa sana wanaume. Mtalaaniwa

Yeah ila hili kwa kibongo bongo ndio wanawake hawataki kusikia! Yani kuvumiliana na njaa na msoto wanachaguaga njia nyepesi tu! Kudanga kwa wenye hela tu kwa wakati huo
Ebu mtoe haraka Khantwe mtoto mzuri kwenye hiyo list, kama unamuhusisha na Ke wa kiswazi niko hapa mdogo wako kukunaibu hiyo nafasi mara 1[emoji12][emoji847]
 
Hali bado sio nzuri kwetu wanaume kama bado wanawake mtaendelea na msimamo wenu ule ule kuangalia mwanamme una nini au unafanya kazi gani naona mwisho wenu utakuwa mbaya zaidi.

Mmevunja mahusiano mengi kwa dharau zenu na viburi sababu kuu ni mwanaume hana kipato unachotaka mmetuacha na maumivu makali sana kwa sababu mnataka mambo makubwa na mtelemko.

Wapo wengine waliovunja mahusiano sababu wanaamini ukimvumilia mwaname ambaye bado anatafuta akija kupata atakudharau hii dhana itaendelea kuwakost wanawake mtaishia pabaya ndo nyinyi tunakuja kuwaona makanisani mnaombewa ili kupata mume mwema.

Acheni tabia hii ya kuchagua wanaume wewe mwanamke ndo inabidi mpatie support mchumba wake Aje kuwa mume bora au baba bora kiuchumi usisubiri mtu kajiangaikia na maisha kaja kufanikiwa tena kama ni mume wa mtu wewe ndo ujilete dada utaishia kuwa single mother.
Kweli wanawake wanatukosea sana kwa kupenda pesa...but na sisi tukizipataga hizo pesa mmmh..ngoja niishie hapa
 
Ila braza napo tuongee ukweli wanaume wengi tukishapataga mihela wale waliotuvumilia tunawachukulia poh tunaanza kusak zile high class mbususu.

So wacha watupige mizinga tuu cha msingi tutafute ndalama tusasambue mbususu zao.
Bora umesema ukweli, hali ndivyo ilivyo.
 
Ila braza napo tuongee ukweli wanaume wengi tukishapataga mihela wale waliotuvumilia tunawachukulia poh tunaanza kusak zile high class mbususu.

So wacha watupige mizinga tuu cha msingi tutafute ndalama tusasambue mbususu zao.
Mbususu nazo ukiziendekeza sana unakufa Mapema sana!!
 
Back
Top Bottom