Wanawake mnaoangalia pesa mnatutesa sana wanaume. Mtalaaniwa

Yeah ila hili kwa kibongo bongo ndio wanawake hawataki kusikia! Yani kuvumiliana na njaa na msoto wanachaguaga njia nyepesi tu! Kudanga kwa wenye hela tu kwa wakati huo
Ebu mtoe haraka Khantwe mtoto mzuri kwenye hiyo list, kama unamuhusisha na Ke wa kiswazi niko hapa mdogo wako kukunaibu hiyo nafasi mara 1[emoji12][emoji847]
 
Kweli wanawake wanatukosea sana kwa kupenda pesa...but na sisi tukizipataga hizo pesa mmmh..ngoja niishie hapa
 
Ila braza napo tuongee ukweli wanaume wengi tukishapataga mihela wale waliotuvumilia tunawachukulia poh tunaanza kusak zile high class mbususu.

So wacha watupige mizinga tuu cha msingi tutafute ndalama tusasambue mbususu zao.
Bora umesema ukweli, hali ndivyo ilivyo.
 
Ila braza napo tuongee ukweli wanaume wengi tukishapataga mihela wale waliotuvumilia tunawachukulia poh tunaanza kusak zile high class mbususu.

So wacha watupige mizinga tuu cha msingi tutafute ndalama tusasambue mbususu zao.
Mbususu nazo ukiziendekeza sana unakufa Mapema sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…