Wanawake mnaofanya kazi hizi office acheni kuringa.

#7 tramp ashawanyoosha
Sahv wengi wanapumulia machines

Ova
 
Kitu pekee anajivunia muafrika ni ngono,yaani hata masikini akitembea na mtu mwenye uwezo kipesa ,utasikia aaaah yule hata aringe vipi nishapiga

Sasa huwa najiuliza inasaidia nini?
😆 😆

Ova
 
Kitu pekee anajivunia muafrika ni ngono,yaani hata masikini akitembea na mtu mwenye uwezo kipesa ,utasikia aaaah yule hata aringe vipi nishapiga

Sasa huwa najiuliza inasaidia nini?
Sii kala utamu jjamni roho imeburudika inatosha hiyo
 
2 na 3✅
 
ni haki yao kuringa, kwa nini mnataka watu wawe miserable? (the world is Living Suffering is Your Choice) 😎
 
Kwani everything has to be ablut kipato cha kila siku?
Kuna vingine tunafanya ili kuburudisha nafsi mzeya
Ahaaaaa basi sawa,ngoja nimvizie DC mmoja nisuuze roho yangu,hata nisipopata faida nitahakikisha natumbukiza mjulubendi pale🤣
 
Kitu pekee anajivunia muafrika ni ngono,yaani hata masikini akitembea na mtu mwenye uwezo kipesa ,utasikia aaaah yule hata aringe vipi nishapiga

Sasa huwa najiuliza inasaidia nini?
Ndicho wanachoweza, or utasikia atakufa tu. Yaani badala ajifunze kutoka kwenye hiyo hali, anawish aporomoke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…