Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Kitu pekee anajivunia muafrika ni ngono,yaani hata masikini akitembea na mtu mwenye uwezo kipesa ,utasikia aaaah yule hata aringe vipi nishapigaWanaringa nje ila kwa upande wa pale kati wanaliwa kimasihara...
Mimi wadada naonaga wapo kawaida ni wa TPA na TRAHuwa sina time nao kama wakizingua nanyooka kwa manager moja kwa moja hela yangu haiwezi kunisumbua pia.
Ila wengine wako humble mkuu mpk wanakuwa washkaji zetu
#7 tramp ashawanyooshaKuna utafiti usio rasmi ambao nimeufanya ila sijauchapisha kwenye jarida lolote,nimegundua wanawake wanaofanya kazi office hizi wana maringo sana na dharau.
1.Crdb branch zote nchini
2.Nssf hasa kinondoni branch
3.psssf nchi nzima
4.Ilala city council
5.Dodoma city council
6.Exim bank
7.USAID
8.kampuni za utalii zote hasa zilizopo arusha
9.mwendokasi
10.Tanapa
😆 😆Kitu pekee anajivunia muafrika ni ngono,yaani hata masikini akitembea na mtu mwenye uwezo kipesa ,utasikia aaaah yule hata aringe vipi nishapiga
Sasa huwa najiuliza inasaidia nini?
Ah teacherrrr mamboBora walimu tumepumzishwa!
Mambo mabaya mzab!Ah teacherrrr mambo
Sii kala utamu jjamni roho imeburudika inatosha hiyoKitu pekee anajivunia muafrika ni ngono,yaani hata masikini akitembea na mtu mwenye uwezo kipesa ,utasikia aaaah yule hata aringe vipi nishapiga
Sasa huwa najiuliza inasaidia nini?
Nini tena teacher? Valentines haieleweki ama?Mambo mabaya mzab!
Sasa walimu mringe mna niniBora walimu tumepumzishwa!
2 na 3✅Kuna utafiti usio rasmi ambao nimeufanya ila sijauchapisha kwenye jarida lolote,nimegundua wanawake wanaofanya kazi office hizi wana maringo sana na dharau.
1.Crdb branch zote nchini
2.Nssf hasa kinondoni branch
3.psssf nchi nzima
4.Ilala city council
5.Dodoma city council
6.Exim bank
7.USAID
8.kampuni za utalii zote hasa zilizopo arusha
9.mwendokasi
10.Tanapa
Haya ushakula utamu hii inakuongezea nini kwenye kipato cha kila siku🤣Sii kala utamu jjamni roho imeburudika inatosha hiyo
Mechi ni mechiWanaringa nje ila kwa upande wa pale kati wanaliwa kimasihara...
Hao ndio siwapendi hasa TRA aaah hiyo taasisi nikiendaga kwanza huwa sina amani,Mimi wadada naonaga wapo kawaida ni wa TPA na TRA
Kwani everything has to be ablut kipato cha kila siku?Haya ushakula utamu hii inakuongezea nini kwenye kipato cha kila siku🤣
Wapo poa na wapo smartHao ndio siwapendi hasa TRA aaah hiyo taasisi nikiendaga kwanza huwa sina amani,
ni haki yao kuringa, kwa nini mnataka watu wawe miserable? (the world is Living Suffering is Your Choice) 😎Kuna utafiti usio rasmi ambao nimeufanya ila sijauchapisha kwenye jarida lolote,nimegundua wanawake wanaofanya kazi office hizi wana maringo sana na dharau.
1.Crdb branch zote nchini
2.Nssf hasa kinondoni branch
3.psssf nchi nzima
4.Ilala city council
5.Dodoma city council
6.Exim bank
7.USAID
8.kampuni za utalii zote hasa zilizopo arusha
9.mwendokasi
10.Tanapa
Ahaaaaa basi sawa,ngoja nimvizie DC mmoja nisuuze roho yangu,hata nisipopata faida nitahakikisha natumbukiza mjulubendi pale🤣Kwani everything has to be ablut kipato cha kila siku?
Kuna vingine tunafanya ili kuburudisha nafsi mzeya
Watanzania hawaeleweki.Nini tena teacher? Valentines haieleweki ama?
Ndicho wanachoweza, or utasikia atakufa tu. Yaani badala ajifunze kutoka kwenye hiyo hali, anawish aporomokeKitu pekee anajivunia muafrika ni ngono,yaani hata masikini akitembea na mtu mwenye uwezo kipesa ,utasikia aaaah yule hata aringe vipi nishapiga
Sasa huwa najiuliza inasaidia nini?