Wanawake mnaofanya kazi hizi office acheni kuringa.

Wanawake mnaofanya kazi hizi office acheni kuringa.

Kuna utafiti usio rasmi ambao nimeufanya ila sijauchapisha kwenye jarida lolote,nimegundua wanawake wanaofanya kazi office hizi wana maringo sana na dharau.
1.Crdb branch zote nchini
2.Nssf hasa kinondoni branch
3.psssf nchi nzima
4.Ilala city council
5.Dodoma city council
6.Exim bank
7.USAID
8.kampuni za utalii zote hasa zilizopo arusha
9.mwendokasi
10.Tanapa
Wanaringa wakiwa wapi mkuu nyumbani, ofisini au sokoni mkuu? Hebu fafanua kidogo
 
Huwa sina time nao kama wakizingua nanyooka kwa manager moja kwa moja hela yangu haiwezi kunisumbua pia.
Ila wengine wako humble mkuu mpk wanakuwa washkaji zetu
Unanyooka kwa Meneja.
Meneja akiwa mwanamke utanyooka kwa...
 
Kulinga ni silaha ya kujihami kuwa wanatoa kipochi kirahisi. Wanamtisha customer tu
 
  • Thanks
Reactions: Okk
Kuna utafiti usio rasmi ambao nimeufanya ila sijauchapisha kwenye jarida lolote,nimegundua wanawake wanaofanya kazi office hizi wana maringo sana na dharau.
1.Crdb branch zote nchini
2.Nssf hasa kinondoni branch
3.psssf nchi nzima
4.Ilala city council
5.Dodoma city council
6.Exim bank
7.USAID
8.kampuni za utalii zote hasa zilizopo arusha
9.mwendokasi
10.Tanapa
7 hawaringi tena Kwa Hisani ya Trump
 
Sema CRDB kuna pisi kali jamani, nahisi pale ajira kwa wadada hutolewa kulingana na shepu au sura.
 
Kuna utafiti usio rasmi ambao nimeufanya ila sijauchapisha kwenye jarida lolote,nimegundua wanawake wanaofanya kazi office hizi wana maringo sana na dharau.
1.Crdb branch zote nchini
2.Nssf hasa kinondoni branch
3.psssf nchi nzima
4.Ilala city council
5.Dodoma city council
6.Exim bank
7.USAID
8.kampuni za utalii zote hasa zilizopo arusha
9.mwendokasi
10.Tanapa
Hao namba 7 umewaonea tu, hawakukuletea maringo ila ni kweli vile vidonge ulivyoenda kuchukua sasa hivi havipo tena. Trump kachomoa betri
 
Sio wanaringa status yake inakuwa hamuendani tuu mbona wapo simple sanaa
 
Namba 1 nakuunga mkono na si wanawake tu baadhi ya branch hata wanaume wanafanya kazi kwa kuridhika sana.
 
Back
Top Bottom