Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa wasikupe tabu, Trump keshashughulika nao.7.USAID
Ni ujinga tuNdicho wanachoweza, or utasikia atakufa tu. Yaani badala ajifunze kutoka kwenye hiyo hali, anawish aporomoke
Mweee! Sio watanzania tuuu waafrica kwa ujumla hawaelewekiWatanzania hawaeleweki.
Wanaringa wakiwa wapi mkuu nyumbani, ofisini au sokoni mkuu? Hebu fafanua kidogoKuna utafiti usio rasmi ambao nimeufanya ila sijauchapisha kwenye jarida lolote,nimegundua wanawake wanaofanya kazi office hizi wana maringo sana na dharau.
1.Crdb branch zote nchini
2.Nssf hasa kinondoni branch
3.psssf nchi nzima
4.Ilala city council
5.Dodoma city council
6.Exim bank
7.USAID
8.kampuni za utalii zote hasa zilizopo arusha
9.mwendokasi
10.Tanapa
Hivi pale basic salary kwa mwezi huwa wanapokea kiasi gani mkuu?Wadada wa bank wakikuangalia nakuona kama mdudh
Unanyooka kwa Meneja.Huwa sina time nao kama wakizingua nanyooka kwa manager moja kwa moja hela yangu haiwezi kunisumbua pia.
Ila wengine wako humble mkuu mpk wanakuwa washkaji zetu
7 hawaringi tena Kwa Hisani ya TrumpKuna utafiti usio rasmi ambao nimeufanya ila sijauchapisha kwenye jarida lolote,nimegundua wanawake wanaofanya kazi office hizi wana maringo sana na dharau.
1.Crdb branch zote nchini
2.Nssf hasa kinondoni branch
3.psssf nchi nzima
4.Ilala city council
5.Dodoma city council
6.Exim bank
7.USAID
8.kampuni za utalii zote hasa zilizopo arusha
9.mwendokasi
10.Tanapa
Tuna wanafunzi.Sasa walimu mringe mna nini
Hao namba 7 umewaonea tu, hawakukuletea maringo ila ni kweli vile vidonge ulivyoenda kuchukua sasa hivi havipo tena. Trump kachomoa betriKuna utafiti usio rasmi ambao nimeufanya ila sijauchapisha kwenye jarida lolote,nimegundua wanawake wanaofanya kazi office hizi wana maringo sana na dharau.
1.Crdb branch zote nchini
2.Nssf hasa kinondoni branch
3.psssf nchi nzima
4.Ilala city council
5.Dodoma city council
6.Exim bank
7.USAID
8.kampuni za utalii zote hasa zilizopo arusha
9.mwendokasi
10.Tanapa
Pole sana, ndio ukubwa huo wanasemaMaisha yananipeleka puta, huo muda wa kuringa nautoa wapi!!!
Ni personal frustration tu kiongozi, amna researchHivi hizi research zenu huwa mnatumia methodologies gani kuziandaa?
Hivi kuna wanawake wanaringa kama hawa wanaofanya biashara za saloon?
Siyo kweli hawaringi, niliweka 300ml walinipa hadi business cards zao.Wadada wa bank wakikuangalia nakuona kama mdudh