Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Acha basiSiyo kweli hawaringi, niliweka 300ml walinipa hadi business cards zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha basiSiyo kweli hawaringi, niliweka 300ml walinipa hadi business cards zao.
Na 007133 wanatoaWanaringa nje ila kwa upande wa pale kati wanaliwa kimasihara...
Kilichobaki ni kuingiza Mjulubenga tundu unalotakaSiyo kweli hawaringi, niliweka 300ml walinipa hadi business cards zao.
Kuna ukweli CRDB walinidhurumu msimbazi wangu,Kuna utafiti usio rasmi ambao nimeufanya ila sijauchapisha kwenye jarida lolote,nimegundua wanawake wanaofanya kazi office hizi wana maringo sana na dharau.
1.Crdb branch zote nchini
2.Nssf hasa kinondoni branch
3.psssf nchi nzima
4.Ilala city council
5.Dodoma city council
6.Exim bank
7.USAID
8.kampuni za utalii zote hasa zilizopo arusha
9.mwendokasi
10.Tanapa
hahahahaWanaringa nje ila kwa upande wa pale kati wanaliwa kimasihara...
Ha hahahahaHamna kitu hao wote nishapiga hizo taasisi Sema wana mbususu tamu😝zinanukia tu ma-air condition ya ofisi zao
HahahahaNa 007133 wanatoa
Anaeleta nyodo anawezaje kuwa manager wakati yupo ndani hakuhudumii?Unanyooka kwa Meneja.
Meneja akiwa mwanamke utanyooka kwa...
Dona, ngoja nikuite hivyo kama yule wa kwenye series ya SUITS. Nipasie mmoja unayemjua nimlee.Wanaringa nje ila kwa upande wa pale kati wanaliwa kimasihara...