Wanawake mnaona mengi sana hivi huwa hamtucheki kweli kwa vituko vya aina hii tuwapo faragha?

Wanawake mnaona mengi sana hivi huwa hamtucheki kweli kwa vituko vya aina hii tuwapo faragha?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Hii huwa naona kwenye vyumba vya kubadirishia nguo (changing room) hasa kabla na baada ya kazi mnapojiweka sawa ili mrudi ma kwenu. Hata chuo ma bwenini nilikuwa naona sana wanaume wa aina hii.

Tulivyo wanaume huwa hatuwazi vitu vidogo vidogo kama hivi. Sasa unakuta mwanaume ana zile bukta za Chelsea, Man U nk na imetoboka kwa chini na hawazi.

Wengine kakata suruali na kuifanya bukta kisha kuwa nguo ya ndani na yenyewe imetoboka vilele.

Sasa akiinama apake mafuta mayai ya mbingu yana ning'inia yote na hawazi kitu mnachapa stori then anaenda.

Mwingine kavaa boxer vile imemkaa lazima ucheke tu. Mimi niliona jamaa kavaa bukta ya kitenge kwa ndani imeandikwa maneno japo hayakukamilika.

Tulicheka sana jamaa alikuwa mjita. Tangu siku hiyo hakuwahi kuivaa tena sijui aliitupa hata haijulikani na hatukujua nani alimshonea hiyo bukta imekaa mkao kama boxer na hii ni mwaka jana tu.

Kuna jamaa mwingine alipata ajari ya jeck(jack harmer) kwa wale wachimbaji wa dhdhabu wa mgodini (miner) wanaijua.

Huyu jamaa alikuwa katika majukumu yake anapiga kazi huku kavaa PPE (overall) jeki ile ili mrusha akaanguka na kuzimia basi haraka wenzake wakatoa taarifa ili aje achukuliwe na kupelekwa clinic haraka.

Basi kuharakisha kumtoa ile overall ikabidi ma nurse waichane kwa mkasi kukuta jamaa kavaa tight ya kike kila mtu alipigwa butwaa. Jamaa alikuwa anataniana sana na watu hasa wakulya na wajaruo maana yeye alikuwa muhaya.

Hii ilivuma sana hapo mgodini ...............

Wanawake mnaona mengi sana hivi huwa hamtucheki kweli kwa vituko vya aina hii?
 
Usidanganyike na vile vichupi vipya unavyoviona kwa mademu mkiingia chumbani, huwa ni vya mtoko hivyo.

Ukiwashtukiza na wao wana misurupwete yao ya kushindia kila siku. Kila demu ana chupi/tight yake pendwa, ukute ina mbonge wa mtobo lakini haiachi.

Ila kufubaa/uchafu wa nguo za ndani ni hulka ya mtu tu haihusiani na jinsia.
 
Very stupid, yaani umejivua jinsia yako ukavaa uhusika wa kike na kuona kama hicho ni kichekesho.

Sidhani kama kuna mwanaume kamili anaweza kuwaza hivi aisee. Hata wanawake wenyewe usikute wanaelewa tu ni mambo ya kawaida mtu hana exposure ya vitu kama boxer, na demu anayejitambua anaweza kumletea zawadi tu au kumshauri.
 
Mbona wadau mmekasirika sana wakati jamaa kaandika tu kama utani watu tufurahi?

Hii inaonesha ni kweli aliyoandika ndio maana wengi wenu mmecharuka.
Hahaha alichokiandika ni kweli sio uwongo na hayo matukio nimeyaona sanaa. Ila binafsi nimejikuta nikiwaona nawaoneaga huruma tu nahisi kuna exposure hawana na pengine ndo washazoea kubadilika inakuwa kazi.

Niliwahi kufanya biashara ya nguo za ndani and I was even suprised kuona wanaume wanaulizia chupi nikiwashauri kuhusu boxer hawanielewi kabisa japo wapo ambao nilikuwa nafanikiwa na wakivaa wanarudi kununua tena na tena.

Hii ni kama mwanaume kushona shati la kitenge sawa na mke wake unaweza kuona ni kichekesho wengine wakaona sawa ila ni kwamba hapo kuna kitu hakiko sawa ni swala la kuelimishana tu sister ake.
 
Hii huwa naona kwenye vyumba vya kubadirishia nguo (changing room) hasa kabla na baada ya kazi mnapojiweka sawa ili mrudi ma kwenu. Hata chuo ma bwenini nilikuwa naona sana wanaume wa aina hii.

Tulivyo wanaume huwa hatuwazi vitu vidogo vidogo kama hivi. Sasa unakuta mwanaume ana zile bukta za Chelsea, Man U nk na imetoboka kwa chini na hawazi.

Wengine kakata suruali na kuifanya bukta kisha kuwa nguo ya ndani na yenyewe imetoboka vilele.

Sasa akiinama apake mafuta mayai ya mbingu yana ning'inia yote na hawazi kitu mnachapa stori then anaenda.

Mwingine kavaa boxer vile imemkaa lazima ucheke tu. Mimi niliona jamaa kavaa bukta ya kitenge kwa ndani imeandikwa maneno japo hayakukamilika.

Tulicheka sana jamaa alikuwa mjita. Tangu siku hiyo hakuwahi kuivaa tena sijui aliitupa hata haijulikani na hatukujua nani alimshonea hiyo bukta imekaa mkao kama boxer na hii ni mwaka jana tu.

Kuna jamaa mwingine alipata ajari ya jeck(jack harmer) kwa wale wachimbaji wa dhdhabu wa mgodini (miner) wanaijua.

Huyu jamaa alikuwa katika majukumu yake anapiga kazi huku kavaa PPE (overall) jeki ile ili mrusha akaanguka na kuzimia basi haraka wenzake wakatoa taarifa ili aje achukuliwe na kupelekwa clinic haraka.

Basi kuharakisha kumtoa ile overall ikabidi ma nurse waichane kwa mkasi kukuta jamaa kavaa tight ya kike kila mtu alipigwa butwaa. Jamaa alikuwa anataniana sana na watu hasa wakulya na wajaruo maana yeye alikuwa muhaya.

Hii ilivuma sana hapo mgodini ...............

Wanawake mnaona mengi sana hivi huwa hamtucheki kweli kwa vituko vya aina hii?
Mkuu wewe ni msukuma?
 
Back
Top Bottom