second9
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 216
- 451
Hahahaha hawa sijawahi kuwaona live aisee!Kuna watu wanavaaga chupi za kike,huwa nashindwa kuwaelewa ni kwamba hawajui kuzitofautisha au nini wanataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha hawa sijawahi kuwaona live aisee!Kuna watu wanavaaga chupi za kike,huwa nashindwa kuwaelewa ni kwamba hawajui kuzitofautisha au nini wanataka
Huo utafiti uliobaki fanya wewe mkuu hakuna aliyezuiliwa kila mtu anafanya anachowezaWaafrika tuna kazi sana kwakwel. Wakati vijana katika nchi zilizoendelea wanafanya utafiti zenye maana kwa nchi zao huku kuna watafiti wa chupi na boxer zilizotoboka.
Daaaah hyo jamaa hafai aseeKuna jamaa yangu tukiwa form 3 alikua anapendeza nje tu uniform lakni ndani jalala.nlikua nikikaa nae ananukia harufu ya shahawa inaonekana alikuaa akiota nadinya usiku anaamuka hivo hivo na boxer yake pensi chafu.sasa kuna siku nimekaa nae back benchez akaja demu fulani alikua anamzimia katika story za hapa na pale na joto class si akasema atoe shati abaki na vest mama yangu hiyo vest ni white lakni imekua chafu kama imepigwa kombola la masafa.dafeki ilibidi niinamishe kicha chini ya dawati nicheke kimya kimya mjuba asistuke.demu naona nae aliona hili popoma akalikataa na mbususu halikuwahi pewa.then demu akaja kua wangu
Mi nilidhani wanaume tunavyobadilika nyuso na kugeuka kama mashetani wakati wa kunaniliu!Hii huwa naona kwenye vyumba vya kubadirishia nguo (changing room) hasa kabla na baada ya kazi mnapojiweka sawa ili mrudi ma kwenu. Hata chuo ma bwenini nilikuwa naona sana wanaume wa aina hii.
Tulivyo wanaume huwa hatuwazi vitu vidogo vidogo kama hivi. Sasa unakuta mwanaume ana zile bukta za Chelsea, Man U nk na imetoboka kwa chini na hawazi.
Wengine kakata suruali na kuifanya bukta kisha kuwa nguo ya ndani na yenyewe imetoboka vilele.
Sasa akiinama apake mafuta mayai ya mbingu yana ning'inia yote na hawazi kitu mnachapa stori then anaenda.
Mwingine kavaa boxer vile imemkaa lazima ucheke tu. Mimi niliona jamaa kavaa bukta ya kitenge kwa ndani imeandikwa maneno japo hayakukamilika.
Tulicheka sana jamaa alikuwa mjita. Tangu siku hiyo hakuwahi kuivaa tena sijui aliitupa hata haijulikani na hatukujua nani alimshonea hiyo bukta imekaa mkao kama boxer na hii ni mwaka jana tu.
Kuna jamaa mwingine alipata ajari ya jeck(jack harmer) kwa wale wachimbaji wa dhdhabu wa mgodini (miner) wanaijua.
Huyu jamaa alikuwa katika majukumu yake anapiga kazi huku kavaa PPE (overall) jeki ile ili mrusha akaanguka na kuzimia basi haraka wenzake wakatoa taarifa ili aje achukuliwe na kupelekwa clinic haraka.
Basi kuharakisha kumtoa ile overall ikabidi ma nurse waichane kwa mkasi kukuta jamaa kavaa tight ya kike kila mtu alipigwa butwaa. Jamaa alikuwa anataniana sana na watu hasa wakulya na wajaruo maana yeye alikuwa muhaya.
Hii ilivuma sana hapo mgodini ...............
Wanawake mnaona mengi sana hivi huwa hamtucheki kweli kwa vituko vya aina hii?
kUNA DOGO ALISEMA MARA YA KWANZA KUFIKIA MSHINDO ALIKATA GOGO PALEPALEMi nilidhani wanaume tunavyobadilika nyuso na kugeuka kama mashetani wakati wa kunaniliu!
Wengine kuachama na kuchuruzikwa udenda midomo wazi kabisa!
Wapo wanaowehuka na kutoa miadi ya kikwete isiyotekelezeka!
Nilidhani unataka kina mama waeleze vituko wakumbanavyo navyo wakati boss anachuchumia kwenye kilele cha mount Meru, kumbe mavazi ya sirini, kuna udhaifu mwingi sana katika eneo hilo pia!
Mkuu wengine hugeuka kuwa ni tabia, kufikia mshindo hukosa control lazima ajinyee.kUNA DOGO ALISEMA MARA YA KWANZA KUFIKIA MSHINDO ALIKATA GOGO PALEPALE
Wanawake wana siri sanaMkuu wengine hugeuka kuwa ni tabia, kufikia mshindo hukosa control lazima ajinyee.
Au walishatatuliwa marinda?Mkuu wengine hugeuka kuwa ni tabia, kufikia mshindo hukosa control lazima ajinyee.
Mimi huwa napiga story na madogo (wafanyakaziwa daywaka) hasa wanao anza kuingia kwenye mahusianoAu walishatatuliwa marinda?
Hamna, ni tatizo la kisaikolojia.Au walishatatuliwa marinda?