Wanawake mnaona mengi sana hivi huwa hamtucheki kweli kwa vituko vya aina hii tuwapo faragha?

ACHA KUVAA BUKTA YA TOBO MKUU.punguza makasiriko
 
Kuna watu wanavaaga chupi za kike,huwa nashindwa kuwaelewa ni kwamba hawajui kuzitofautisha au nini wanataka
 
Chupi za kiume zipo, zinaitwa briefs...

Ni nzuri kwa wanaume wenye 'maumbile' makubwa.

Nimezivaa sana.
 
Mi nilishawahi kumwona mwanaume amevaa gauni na sikushangaa sasa sijui kwa nini mtoa mada anashangaa vitu vidogo vidogo.
 
Waafrika tuna kazi sana kwakwel. Wakati vijana katika nchi zilizoendelea wanafanya utafiti zenye maana kwa nchi zao huku kuna watafiti wa chupi na boxer zilizotoboka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…