Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #161
Kama ni hivyo, wewe ni ka-waifu matiriokwa kweli mimi kama mimi siwezi muuzi mrs original,,sasa nawezaje muuzi wakati hata mr. original lazima apewe service?
shauri yao wanaowaza hela mimi akuuuu ninazo zangu
weee sema kuna uafadhali kidogo maana siku zote nasema Ke inaweza amka na ikawa tajiri siku hiyo hiyo tofauti na Me.Kwa Ke sio kivile bwana, mambo magumu kwa me!!
thanks for the complements maana ndivyo ilivyoKama ni hivyo, wewe ni ka-waifu matirio
Vya chuo havili sana kumbe[emoji28] ila pia demu wa chuo unaeza ukam hold kwa muda mrefu kidogo maana wengi wanakuwa form 6 za chaka hawana exposure sana.
Unakuwa unajitafunia D number
haswa jaman,,,u said it allTuna hisia Tena Kali, Ila hela ya mpenzi Ni tamu sana kuliko mishahara yetu..๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃkale ka messeji ka M-PESA kanaongeza hizo hisia unazouliza double double
Mnawafanya wanaume zenu wanaongea wenyewe barabarani kama vichaaTuna hisia Tena Kali, Ila hela ya mpenzi Ni tamu sana kuliko mishahara yetu..๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃkale ka messeji ka M-PESA kanaongeza hizo hisia unazouliza double double
Hapana wasiongee barabarani Kama vichaa,tunawapa chachu ya kutafuta pesa...unakaaje na mwanamke hata hakuombi hela bwana?sio kweli!utabweteka๐๐๐๐๐natamani mngejua vile pesa yenu inakuwaga tamuu,Unajiona mpenzi wangu ananithamini,anajali shida zangu,hisia zinaongezeka Mara dufu......Muwe mnatupa Basi msisubiri mpaka tuwaombe maana mkitoa kwa hiari yenu hamtolalamika Sana,tatizo mnajikausha tukiomba tu hata Kama mnazo mnaanza kununa๐๐๐Mnawafanya wanaume zenu wanaongea wenyewe barabarani kama vichaa
Wengine ni style ya kuwabamiza na kuna wengine wanasema ukweli
Kikubwa tafuta mwanamke mwenye uelewa (akili).
Kuna mmoja nilikutana naye, baada ya siku mbili kumpelekea moto, anakuja kuomba hela ya mafuta ya gari lita 100
Watupe tu hizo hela kwa kweli๐๐haswa jaman,,,u said it all
Kawaida tu MkuuOkay Sawa! Uko vizuri very smart
๐๐๐๐๐๐UmetishaNa ukiwa bahili sana huku una hela wanakuloga ili uwape vizuri ๐
๐๐๐๐๐๐UmenichekeshaNa ukiwa bahili sana huku una hela wanakuloga ili uwape vizuri ๐
๐๐๐๐๐๐๐UmeonaeeeEti usiombe hela kisa utaonekana unauza [emoji28][emoji28][emoji28]ila kukuzagamua akuzagamue anavyotaka
Shangazi na baba mkubwa bado hajafariki,na tuna birthday pia!msituchezeeee๐๐๐Omba kwa step, sasa demu toka kakupa namba yeye ni kama vile homeless kid! Njaa inauma, mama anaumwa, simu aina vocha, nadaiwa luku๐ unaona heeeeh hii ni mapenzi au student requirements!
Hizo besdei ndio kichefu chefuShangazi na baba mkubwa bado hajafariki,na tuna birthday pia!msituchezeeee๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐๐Mange anaweka na kamtu kanapiga sarakasiUnatoa yote (in mangeโs voice)
Ila kizazi hiki wanaume mmekuwa waoga Sana๐๐๐Hizo besdei ndio kichefu chefu