Wanawake mnaoomba fedha huwa hamna hisia?

Wanawake mnaoomba fedha huwa hamna hisia?

kwa kweli mimi kama mimi siwezi muuzi mrs original,,sasa nawezaje muuzi wakati hata mr. original lazima apewe service?

shauri yao wanaowaza hela mimi akuuuu ninazo zangu
Kama ni hivyo, wewe ni ka-waifu matirio
 
by nature mwanaume ni mtoaji, hivyo wanawake wengi wamegundua wao kuchukua ile role ya kujitoa sana wanamnyima mwanaume haki yake yakuwa provider.

Sasa mara nyingi kinachotokea ni kwamba , mwanaume asipohudumia familia yake kutokana na nature ya yeye kuwa mtoaji basi ataenda kutoa sehemu nyengine (kwa hawara) ili mtu kuepusha haya anaona bora ambane tu mume wake ahudumie kwake ili akiwaza kwenda kwengine ajikute anatulia.
 
Vya chuo havili sana kumbe[emoji28] ila pia demu wa chuo unaeza ukam hold kwa muda mrefu kidogo maana wengi wanakuwa form 6 za chaka hawana exposure sana.

Unakuwa unajitafunia D number

Possible mzee mwenzangu kupata namba D chuo.

Kifupi wengi ujanja ujanja unakuwa mdg halafu havina gharama kubwa.Mtoto mbichi hata uchawi hana,uswahili mademu wamepinda sana akiona uchumi upo atafanya lolote
 
Tuna hisia Tena Kali, Ila hela ya mpenzi Ni tamu sana kuliko mishahara yetu..🤣🤣🤣🤣🤣🤣kale ka messeji ka M-PESA kanaongeza hizo hisia unazouliza double double
 
Mnawafanya wanaume zenu wanaongea wenyewe barabarani kama vichaa
Hapana wasiongee barabarani Kama vichaa,tunawapa chachu ya kutafuta pesa...unakaaje na mwanamke hata hakuombi hela bwana?sio kweli!utabweteka😂😂😂😂😂natamani mngejua vile pesa yenu inakuwaga tamuu,Unajiona mpenzi wangu ananithamini,anajali shida zangu,hisia zinaongezeka Mara dufu......Muwe mnatupa Basi msisubiri mpaka tuwaombe maana mkitoa kwa hiari yenu hamtolalamika Sana,tatizo mnajikausha tukiomba tu hata Kama mnazo mnaanza kununa😂😂😂
 
Omba kwa step, sasa demu toka kakupa namba yeye ni kama vile homeless kid! Njaa inauma, mama anaumwa, simu aina vocha, nadaiwa luku😂 unaona heeeeh hii ni mapenzi au student requirements!
Shangazi na baba mkubwa bado hajafariki,na tuna birthday pia!msituchezeeee😂😂😂
 
Back
Top Bottom