Wanawake, mnaponyaje maumivu ya kusalitiwa na wenza wenu?

Wanawake, mnaponyaje maumivu ya kusalitiwa na wenza wenu?

Tafta furaha yako tu hafu miaka 15 huyo mwanaume atakuwa hata hakut... vizuri hana nguvu za kiume tafta kibeten kikukojoze aisee utashangaa unamuona mjinga.
Dah mimi baby wangu hata afanye nini siumii nahrshimu uamuzi wake kutafta starehe ya kumuridhisha basi, so na mimi nafanya yangu.
Umri huu nimekua staki kuumizwa na mjinga yoyote awe Babu, mume sijui nini woooi I don't care life is too short kuumizwa na uamuzi wa mtu mwingine aisee
Kwahio bby wako unampiga matukio tu, mnapigana vita baridi😅
 
Hapo mume anatakiwa awe mpole kupitiliza, ndiyo imani itarudi na upendo arudishe yeye kuanzia kwa watoto na mama yao ndiyo utajenga imani asipofanya hivyo hutamuamini ng'ooo
 
Una Kibeten chako KINAKUKOJOZA ukirudi home TULI unajikausha kama siye vile hahahahahahahahaha

Tafta furaha yako tu hafu miaka 15 huyo mwanaume atakuwa hata hakut... vizuri hana nguvu za kiume tafta kibeten kikukojoze aisee utashangaa unamuona mjinga.
Dah mimi baby wangu hata afanye nini siumii nahrshimu uamuzi wake kutafta starehe ya kumuridhisha basi, so na mimi nafanya yangu.
Umri huu nimekua staki kuumizwa na mjinga yoyote awe Babu, mume sijui nini woooi I don't care life is too short kuumizwa na uamuzi wa mtu mwingine aisee
 
Mhhhh!!!, Kwamba wao sio wachepukaji??.Ungejua, walivyo wasiri kiasi Cha wewe kutojua kirahisi,usingecomment hivi.
Hujanielewa mkuu, wanawake nao huchepuka ila si kwa kiwango kikubwa kulinganisha na ME.

Uvumilivu ninaozungumzia ni ile anakuta umechepuka tena zaidi ya mara moja anasemehe na maisha yanaendelea huo ni uvumilivu.

Mwanaume kumvumilia mwanamke mchepukaji huwa ni nadra, au labda kama umewekewa limbwata
 
Hujanielewa mkuu, wanawake nao huchepuka ila si kwa kiwango kikubwa kulinganisha na ME.

Uvumilivu ninaozungumzia ni ile anakuta umechepuka tena zaidi ya mara moja anasemehe na maisha yanaendelea huo ni uvumilivu.

Mwanaume kumvumilia mwanamke mchepukaji huwa ni nadra, au labda kama umewekewa limbwata
Lkn kuchepuka ni nature ya Wanaume na siyo ya Wanawake, ndio maana hata kwenye Ufugaji unakuta tetea kumi wanapandwa na jogoo mmoja, ng'ombe jike 15 hadi 20 wanapandwa na dume moja.Lkn huwezi ona Madume mengi eti yanategemea kupanda jike mmoja.
 
The herb heals your mind,soul and body....


tumblr_ofjnhuAr0b1vh8s94o1_400.gif
 
🤣🤣🤣🤣 lakini hii si ndoa ni ushahidi wa kuzuga walimwengu kwamba ni mke na mume kumbe anayekutoo kwa zaidi ya mwaka ni kibeten. Mume hajakutoo zaidi ya miaka miwili hata K yako hajui tena inafananaje au inanukia vipi. Hii si ndoa kwa maoni yangu.

Sure kibeten ukitoka hamu zimeisha hata mda wa kugombana na baby huna aisee. Wale wanaojifamya wema kwenye ndoa ndoa zao hufa mapema sana
 
Habari za jioni.

Swali kwa Wanawake, mnawezaje kupona maumivu ya usaliti?

Mnawezaje kurudisha ule upendo ulioisha mioyoni mwenu?

Umeolewa, mna zaidi ya miaka 15, jamaa matukio ya hapa na pale, zaidi akaanza dharau.
Mnasuluhisha maisha yanaendelea ila sasa anakuwa amekutoka tu rohoni..

Unamuona kama binadamu tu mwingine wa kawaida. awepo sawa asiwepo hewala.

Hata kutoka pamoja hamtoki tena, hamna stori zaidi ya kujuliana hali, mkiongea ni maendeleo ya watoto, mafundi, biashara full stop,
hakuna hata simu wala sms (uliacha kumpigia maana hata simu zako alikuwa hapokei na mnaishi nyumba moja chumba kimoja kitanda kimoja!!!!!) alidanganya kuwa hajaoa, na pete ya ndoa alipovulia anajua mwenyewe),

Sasa unatoka mwenyewe labda na wanao na unagundua ni raha iliyoje unaenjoy to the maxmum, unaishi maisha yako as if hayupo. unafanya issue zako mwenyewe,

Hata tendo kwa kusua sua.................

Maisha yanasonga!!!!

Sasa basi........

Baada ya miezi kadhaa mumeo anajitahidi kujirudisha ....
Bahati mbaya hakushtui.... na unagundua kwa kuwa humuamini hata akisema kitu cha ukweli wala hukipi uzito unajua ni mauongo yake tu ya kawaida, atakuwa yupo kwenye ubaharia wake tu.......… kila afanyacho unaona kama anajikosha tu hamna jipya, hakushtui, hakusisimui, yaani anaweza kutuma msg asubuhi ukaiona saa tisa maana hata hujishughulishi na msg zake( si mlishaacha kutumiana msg na simu)

Sasa anataka muyajenge........

wenye uzefu jamani...mnaanzia wapi??????????????????????????
Ukisusa wenzako wanakula, ukitoa gem under perfomance ataenda kupewa na malaya wananyonya hadi mbupu
 
Ilitokea kwa jirani yangu baada ya kuhisi mke anachepuka na rafiki wa familia ,mume amemchukia sana mke na hata kufikia kumtangaza kwa watu kuwa ni Malaya. Juzi Kati akasikika sehemu akisema huyu mke wangu amenitoka mpaka basi natamani kuachana naye.nimemsihi amsamehe mke wake lakini hajanielewa kabisa.

Kwa hiyo nakubaliana haya mambo yapo cha msingi yanapokupata msameheane na mwenzako maisha yaendelee.
Anasubiri nn kumuacha??

Ngojeni niwaambie... majuto yaliwekwa kwa sababu hiyo.


Mwambie amuache.
 
Mwanaume hasusiwi dadangu, yeue ana nafasi ya kuacha na kuoa tena, ana nafasi ya kuongeza mke wa 2. Haya wewe unayevuta mdomo ukamnunia ukiachwa mandazi yanakudodea, ukipata mchepuko wanao watakuadhibu baadae kwa kumsaliti baba yao. Mwanaume ukiona amejirudi shikilia hapohapo usijekupoteza kila kitu. Hata maandiko hayajasema mwanaume mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake, bali yamemtaja mwanamke.
Chukua ushauri wangu dadangu utalia sana mbeleni. Afadhali huyo anakupa unyumba nusunusu mm mke wangu tuna mwaka wa 2 na zaidi sijamgusa na sina hata ham naye naye ana akili kama yako napanga kuoa bi mdogo
 
Ni mwendo wa vita baridi tu, Mimi hata nimkute live naona tu kawaida, swala la ku mind Sina kabisa sijui ndio hisia zimekufa vile?
Hahahahahah mapenzi yenu yameshatoka kwenye honeymoon yapo kwenye dormant phase 😅 hapo ndipo ambako ishu ni ada, kodi, mafundi, ujenzi na michango!

Kutiana mara moja moja sana!
 
Lkn kuchepuka ni nature ya Wanaume na siyo ya Wanawake, ndio maana hata kwenye Ufugaji unakuta tetea kumi wanapandwa na jogoo mmoja, ng'ombe jike 15 hadi 20 wanapandwa na dume moja.Lkn huwezi ona Madume mengi eti yanategemea kupanda jike mmoja.
Hiyo asili wengi hawajakubaliana nayo, kwa hiyo kinachowasaidia ni uvumilivu tu.
 
Tafta furaha yako tu hafu miaka 15 huyo mwanaume atakuwa hata hakut... vizuri hana nguvu za kiume tafta kibeten kikukojoze aisee utashangaa unamuona mjinga.
Dah mimi baby wangu hata afanye nini siumii nahrshimu uamuzi wake kutafta starehe ya kumuridhisha basi, so na mimi nafanya yangu.
Umri huu nimekua staki kuumizwa na mjinga yoyote awe Babu, mume sijui nini woooi I don't care life is too short kuumizwa na uamuzi wa mtu mwingine aisee
Malaya mkubwa wewe,subiri Ukimwi mjinga wewe
 
Back
Top Bottom