Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Usaliti ni kitu kinaumiza zaidi hasa kwa mwanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilitokea kwa jirani yangu baada ya kuhisi mke anachepuka na rafiki wa familia ,mume amemchukia sana mke na hata kufikia kumtangaza kwa watu kuwa ni Malaya. Juzi Kati akasikika sehemu akisema huyu mke wangu amenitoka mpaka basi natamani kuachana naye.nimemsihi amsamehe mke wake lakini hajanielewa kabisa.
Kwa hiyo nakubaliana haya mambo yapo cha msingi yanapokupata msameheane na mwenzako maisha yaendelee.
Unadhani kwenye ndoa mnapendana 24/7??!
Hawa wanaume wa siku hizi wanavyojua kukitembezaTafta furaha yako tu hafu miaka 15 huyo mwanaume atakuwa hata hakut... vizuri hana nguvu za kiume tafta kibeten kikukojoze aisee utashangaa unamuona mjinga.
Dah mimi baby wangu hata afanye nini siumii nahrshimu uamuzi wake kutafta starehe ya kumuridhisha basi, so na mimi nafanya yangu.
Umri huu nimekua staki kuumizwa na mjinga yoyote awe Babu, mume sijui nini woooi I don't care life is too short kuumizwa na uamuzi wa mtu mwingine aisee
Akijirudi rudisha moyo, kama ulimpenda toka moyoni
Kweli kabisa, sasa yeye kakaa hapo anamuwaza mtu mmoja kama kamzaa yeye vile!!Hawa wanaume wa siku hizi wanavyojua kukitembeza
Usipokuwa na wa kukutoa stress huko pembeni hakuna rangi utaacha kuona.
Naunga mkono hoja.Tafta furaha yako tu hafu miaka 15 huyo mwanaume atakuwa hata hakut... vizuri hana nguvu za kiume tafta kibeten kikukojoze aisee utashangaa unamuona mjinga.
Dah mimi baby wangu hata afanye nini siumii nahrshimu uamuzi wake kutafta starehe ya kumuridhisha basi, so na mimi nafanya yangu.
Umri huu nimekua staki kuumizwa na mjinga yoyote awe Babu, mume sijui nini woooi I don't care life is too short kuumizwa na uamuzi wa mtu mwingine aisee
Usiishie hapo tu, tafuta wa kukukojoza vizuri. Ukirudi home unapiga mapambio tu wala huna habari.Ngoja niwe msomaji maana ni kama umeniandikia huu uzi. Nimeshindwa kabisa kurudi katika hali ya awali na kuzaa zaidi nimesitisha rasmi, wanangu wawili wananitosha na ndio niko busy nao. Yeye aendelee tu na mambo yake hata sijali tena.
Safi sana life is too short to be stressed na mtu uliyekutana naye utu uzima. Find ur own happiness timiza ndoto yako uta enjoy lifeNgoja niwe msomaji maana ni kama umeniandikia huu uzi. Nimeshindwa kabisa kurudi katika hali ya awali na kuzaa zaidi nimesitisha rasmi, wanangu wawili wananitosha na ndio niko busy nao. Yeye aendelee tu na mambo yake hata sijali tena.
Huu ndio ukweli wanawake huvumilia wanaume wabovu kitandani, huku wao wanatafta vitu vya ku satisfy nafsi zaoUsiishie hapo tu, tafuta wa kukukojoza vizuri. Ukirudi home unapiga mapambio tu wala huna habari.
Wanaume wote tu wanafanana tabia za uhuni na umalaya Sasa wewe mwanamke kuwa mpole hakufanyi vizuri kumbe ana michepuko kumi wewe unaumia unajifanya mtakatifu utajutra wallah siku akikuletea vitoto vya nje huku ma hechibii na wat...ji wazuri ulikuwa unawakataa hapo ni mwanzo wa maumivu ya kudumu, ila ungekuwa na watu wako wawili watatu umalaya wa mumeo hakuumizi na ndoa haifi.Hawa wanaume wa siku hizi wanavyojua kukitembeza
Usipokuwa na wa kukutoa stress huko pembeni hakuna rangi utaacha kuona.
Malaya aloyekuzaa wewe na ukimwi utapata wewe plus kansa kenge wahed wewe, wewe ni nani wakupangia wengine starehe mxiiiiiewMalaya mkubwa wewe,subiri Ukimwi mjinga wewe
Waache wakae wakinung'unika maisha yao yote wakati wanaweza kujipa furaha wenyewe. Raha jipe mwenyewe bwana.Huu ndio ukweli wanawake huvumilia wanaume wabovu kitandani, huku wao wanatafta vitu vya ku satisfy nafsi zao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Malaya aloyekuzaa wewe na ukimwi utapata wewe plus kansa kenge wahed wewe, wewe ni nani wakupangia wengine starehe mxiiiiiew
Safi sana life is too short to be stressed na mtu uliyekutana naye utu uzima. Find ur own happiness timiza ndoto yako uta enjoy life
Usiishie hapo tu, tafuta wa kukukojoza vizuri. Ukirudi home unapiga mapambio tu wala huna habari.
Ngoja ikusute hadi upate ugonjwa wa moyo ndio akili itakukaa sawa. Narudia tena tafuta wa kukukojoza.Hahahaa hapo ndipo pagumu, japo yeye kanisaliti ila nafsi inanisuta vibaya sana kumsaliti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] very true mzee baba kila mtu atafte furaha yakeHahahahahah mapenzi yenu yameshatoka kwenye honeymoon yapo kwenye dormant phase [emoji28] hapo ndipo ambako ishu ni ada, kodi, mafundi, ujenzi na michango!
Kutiana mara moja moja sana!