Wanawake, mnaponyaje maumivu ya kusalitiwa na wenza wenu?

Wanawake, mnaponyaje maumivu ya kusalitiwa na wenza wenu?

Duh!!!!
Ilitokea kwa jirani yangu baada ya kuhisi mke anachepuka na rafiki wa familia ,mume amemchukia sana mke na hata kufikia kumtangaza kwa watu kuwa ni Malaya. Juzi Kati akasikika sehemu akisema huyu mke wangu amenitoka mpaka basi natamani kuachana naye.nimemsihi amsamehe mke wake lakini hajanielewa kabisa.

Kwa hiyo nakubaliana haya mambo yapo cha msingi yanapokupata msameheane na mwenzako maisha yaendelee.
 
Tafta furaha yako tu hafu miaka 15 huyo mwanaume atakuwa hata hakut... vizuri hana nguvu za kiume tafta kibeten kikukojoze aisee utashangaa unamuona mjinga.
Dah mimi baby wangu hata afanye nini siumii nahrshimu uamuzi wake kutafta starehe ya kumuridhisha basi, so na mimi nafanya yangu.
Umri huu nimekua staki kuumizwa na mjinga yoyote awe Babu, mume sijui nini woooi I don't care life is too short kuumizwa na uamuzi wa mtu mwingine aisee
Hawa wanaume wa siku hizi wanavyojua kukitembeza

Usipokuwa na wa kukutoa stress huko pembeni hakuna rangi utaacha kuona.
 
Tafta furaha yako tu hafu miaka 15 huyo mwanaume atakuwa hata hakut... vizuri hana nguvu za kiume tafta kibeten kikukojoze aisee utashangaa unamuona mjinga.
Dah mimi baby wangu hata afanye nini siumii nahrshimu uamuzi wake kutafta starehe ya kumuridhisha basi, so na mimi nafanya yangu.
Umri huu nimekua staki kuumizwa na mjinga yoyote awe Babu, mume sijui nini woooi I don't care life is too short kuumizwa na uamuzi wa mtu mwingine aisee
Naunga mkono hoja.
 
Ngoja niwe msomaji maana ni kama umeniandikia huu uzi. Nimeshindwa kabisa kurudi katika hali ya awali na kuzaa zaidi nimesitisha rasmi, wanangu wawili wananitosha na ndio niko busy nao. Yeye aendelee tu na mambo yake hata sijali tena.
Usiishie hapo tu, tafuta wa kukukojoza vizuri. Ukirudi home unapiga mapambio tu wala huna habari.
 
Ngoja niwe msomaji maana ni kama umeniandikia huu uzi. Nimeshindwa kabisa kurudi katika hali ya awali na kuzaa zaidi nimesitisha rasmi, wanangu wawili wananitosha na ndio niko busy nao. Yeye aendelee tu na mambo yake hata sijali tena.
Safi sana life is too short to be stressed na mtu uliyekutana naye utu uzima. Find ur own happiness timiza ndoto yako uta enjoy life
 
Hawa wanaume wa siku hizi wanavyojua kukitembeza

Usipokuwa na wa kukutoa stress huko pembeni hakuna rangi utaacha kuona.
Wanaume wote tu wanafanana tabia za uhuni na umalaya Sasa wewe mwanamke kuwa mpole hakufanyi vizuri kumbe ana michepuko kumi wewe unaumia unajifanya mtakatifu utajutra wallah siku akikuletea vitoto vya nje huku ma hechibii na wat...ji wazuri ulikuwa unawakataa hapo ni mwanzo wa maumivu ya kudumu, ila ungekuwa na watu wako wawili watatu umalaya wa mumeo hakuumizi na ndoa haifi.
 
Hahahahahah mapenzi yenu yameshatoka kwenye honeymoon yapo kwenye dormant phase [emoji28] hapo ndipo ambako ishu ni ada, kodi, mafundi, ujenzi na michango!

Kutiana mara moja moja sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] very true mzee baba kila mtu atafte furaha yake
 
Back
Top Bottom