Kwahio bby wako unampiga matukio tu, mnapigana vita baridi😅Tafta furaha yako tu hafu miaka 15 huyo mwanaume atakuwa hata hakut... vizuri hana nguvu za kiume tafta kibeten kikukojoze aisee utashangaa unamuona mjinga.
Dah mimi baby wangu hata afanye nini siumii nahrshimu uamuzi wake kutafta starehe ya kumuridhisha basi, so na mimi nafanya yangu.
Umri huu nimekua staki kuumizwa na mjinga yoyote awe Babu, mume sijui nini woooi I don't care life is too short kuumizwa na uamuzi wa mtu mwingine aisee
Kwamba Wanawake peke yao ndio wavumilivu kwenye ndoa??.Ukifika kwenye ndoa utajionea mwenyewe na si kusimuliwa.
Wanawake wasingekuwa wavumilivu ndoa zisingekuwa zinadumu niishie hapa.
Hapana hata wanaume ni wavumilivu, ila wanawake ndo wavumilivu zaidi hasa kwenye suala zima la uchepukaji.Kwamba Wanawake peke yao ndio wavumilivu kwenye ndoa??.
Tafta furaha yako tu hafu miaka 15 huyo mwanaume atakuwa hata hakut... vizuri hana nguvu za kiume tafta kibeten kikukojoze aisee utashangaa unamuona mjinga.
Dah mimi baby wangu hata afanye nini siumii nahrshimu uamuzi wake kutafta starehe ya kumuridhisha basi, so na mimi nafanya yangu.
Umri huu nimekua staki kuumizwa na mjinga yoyote awe Babu, mume sijui nini woooi I don't care life is too short kuumizwa na uamuzi wa mtu mwingine aisee
Mhhhh!!!, Kwamba wao sio wachepukaji??.Ungejua, walivyo wasiri kiasi Cha wewe kutojua kirahisi,usingecomment hivi.Hapana hata wanaume ni wavumilivu, ila wanawake ndo wavumilivu zaidi hasa kwenye suala zima la uchepukaji.
Hujanielewa mkuu, wanawake nao huchepuka ila si kwa kiwango kikubwa kulinganisha na ME.Mhhhh!!!, Kwamba wao sio wachepukaji??.Ungejua, walivyo wasiri kiasi Cha wewe kutojua kirahisi,usingecomment hivi.
Lkn kuchepuka ni nature ya Wanaume na siyo ya Wanawake, ndio maana hata kwenye Ufugaji unakuta tetea kumi wanapandwa na jogoo mmoja, ng'ombe jike 15 hadi 20 wanapandwa na dume moja.Lkn huwezi ona Madume mengi eti yanategemea kupanda jike mmoja.Hujanielewa mkuu, wanawake nao huchepuka ila si kwa kiwango kikubwa kulinganisha na ME.
Uvumilivu ninaozungumzia ni ile anakuta umechepuka tena zaidi ya mara moja anasemehe na maisha yanaendelea huo ni uvumilivu.
Mwanaume kumvumilia mwanamke mchepukaji huwa ni nadra, au labda kama umewekewa limbwata
Sure kibeten ukitoka hamu zimeisha hata mda wa kugombana na baby huna aisee. Wale wanaojifamya wema kwenye ndoa ndoa zao hufa mapema sanaUna Kibeten chako KINAKUKOJOZA ukirudi home TULI unajikausha kama siye vile hahahahahahahahaha
Ni mwendo wa vita baridi tu, Mimi hata nimkute live naona tu kawaida, swala la ku mind Sina kabisa sijui ndio hisia zimekufa vile?Kwahio bby wako unampiga matukio tu, mnapigana vita baridi[emoji28]
Sure kibeten ukitoka hamu zimeisha hata mda wa kugombana na baby huna aisee. Wale wanaojifamya wema kwenye ndoa ndoa zao hufa mapema sana
Ukisusa wenzako wanakula, ukitoa gem under perfomance ataenda kupewa na malaya wananyonya hadi mbupuHabari za jioni.
Swali kwa Wanawake, mnawezaje kupona maumivu ya usaliti?
Mnawezaje kurudisha ule upendo ulioisha mioyoni mwenu?
Umeolewa, mna zaidi ya miaka 15, jamaa matukio ya hapa na pale, zaidi akaanza dharau.
Mnasuluhisha maisha yanaendelea ila sasa anakuwa amekutoka tu rohoni..
Unamuona kama binadamu tu mwingine wa kawaida. awepo sawa asiwepo hewala.
Hata kutoka pamoja hamtoki tena, hamna stori zaidi ya kujuliana hali, mkiongea ni maendeleo ya watoto, mafundi, biashara full stop,
hakuna hata simu wala sms (uliacha kumpigia maana hata simu zako alikuwa hapokei na mnaishi nyumba moja chumba kimoja kitanda kimoja!!!!!) alidanganya kuwa hajaoa, na pete ya ndoa alipovulia anajua mwenyewe),
Sasa unatoka mwenyewe labda na wanao na unagundua ni raha iliyoje unaenjoy to the maxmum, unaishi maisha yako as if hayupo. unafanya issue zako mwenyewe,
Hata tendo kwa kusua sua.................
Maisha yanasonga!!!!
Sasa basi........
Baada ya miezi kadhaa mumeo anajitahidi kujirudisha ....
Bahati mbaya hakushtui.... na unagundua kwa kuwa humuamini hata akisema kitu cha ukweli wala hukipi uzito unajua ni mauongo yake tu ya kawaida, atakuwa yupo kwenye ubaharia wake tu.......… kila afanyacho unaona kama anajikosha tu hamna jipya, hakushtui, hakusisimui, yaani anaweza kutuma msg asubuhi ukaiona saa tisa maana hata hujishughulishi na msg zake( si mlishaacha kutumiana msg na simu)
Sasa anataka muyajenge........
wenye uzefu jamani...mnaanzia wapi??????????????????????????
Anasubiri nn kumuacha??Ilitokea kwa jirani yangu baada ya kuhisi mke anachepuka na rafiki wa familia ,mume amemchukia sana mke na hata kufikia kumtangaza kwa watu kuwa ni Malaya. Juzi Kati akasikika sehemu akisema huyu mke wangu amenitoka mpaka basi natamani kuachana naye.nimemsihi amsamehe mke wake lakini hajanielewa kabisa.
Kwa hiyo nakubaliana haya mambo yapo cha msingi yanapokupata msameheane na mwenzako maisha yaendelee.
Hahahahahah mapenzi yenu yameshatoka kwenye honeymoon yapo kwenye dormant phase 😅 hapo ndipo ambako ishu ni ada, kodi, mafundi, ujenzi na michango!Ni mwendo wa vita baridi tu, Mimi hata nimkute live naona tu kawaida, swala la ku mind Sina kabisa sijui ndio hisia zimekufa vile?
Hiyo asili wengi hawajakubaliana nayo, kwa hiyo kinachowasaidia ni uvumilivu tu.Lkn kuchepuka ni nature ya Wanaume na siyo ya Wanawake, ndio maana hata kwenye Ufugaji unakuta tetea kumi wanapandwa na jogoo mmoja, ng'ombe jike 15 hadi 20 wanapandwa na dume moja.Lkn huwezi ona Madume mengi eti yanategemea kupanda jike mmoja.
Malaya mkubwa wewe,subiri Ukimwi mjinga weweTafta furaha yako tu hafu miaka 15 huyo mwanaume atakuwa hata hakut... vizuri hana nguvu za kiume tafta kibeten kikukojoze aisee utashangaa unamuona mjinga.
Dah mimi baby wangu hata afanye nini siumii nahrshimu uamuzi wake kutafta starehe ya kumuridhisha basi, so na mimi nafanya yangu.
Umri huu nimekua staki kuumizwa na mjinga yoyote awe Babu, mume sijui nini woooi I don't care life is too short kuumizwa na uamuzi wa mtu mwingine aisee