Wanawake, mnaponyaje maumivu ya kusalitiwa na wenza wenu?

Yes Sasa kuliko kukaa ndoa fake Bora kuwa tu huru
 
Kha! " watu wako wawili wa tatu", yaani unakuwa na watu wawili au watatu wa kukupumulia kwa nyakati tofauti,si hatari hii! !?
 
Yaani sie wa miaka 15 -20 tunakuelewa vizuri sana


Sasa upate mwanaume limbukeni akipata demu mpya matako yanamlia mbwata yeyeyeyeyeyeyeye!!!!!!!!

Situation ya huyu dada niliipitia kipindi fulani.......


Yaani jamaa dharau yeye, kiburi yeye, ni kufokafoka kama cobra!!!! Mpaka watoto wakamuogopa.

Nilichoamua ni kuishi maisha yangu....

Ya nini wewe unakonda mwenzio anarudi mwepesiiiiiiiiii anajinunisha ili usimguse.

Cha kufia nini....kifanyio chake...hela anayohonga yake....mwili wake....utamu anapata yeye

Kwanza unamtoa tu.moyoni na rohoni........

Kisha tafuta hela.... na funga kizazi au weka kitanzi

Tatu kula bata mpaka kuku waone wivu...


Nne unavuta kibenten kinachojua kusimamia kucha na kukata viuno

Tano maisha yanakuwa yako na wanao tu


Akishtuka tayari manyoya tu!!!!!!




 
Huo ndio mpango mzima.
 
Ulifanya uamuzi wa busara sana kujitaftia furaha wanaume hupenda kufanya vitu ukisononeka na kuhuzunika ndio hufurahia au mkiachana upauke hapo anachekelea
.
Heri kujipenda kufanya maendeleo yako na watoto na kutafta kibeten loh.
 
Mwanamke akichepu kulipiza kisasi anaona amekukomesha sana anakuwa na amani
Ukiona umechepuka ukampanga na mkasameheana jua katika wale anaowakataakataa mmoja wao umempa neema always wanawake wanatongozwa kwa hiyo anachofanya ni kuangalia tu nani anaelekea elekea anamkubali na akikuta show kali imeng'ata kwako mzee

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…