Mbona mmbea hivyoUnamatatizo kichwani nenda kwenye profile see my Identity broh! Am that alpha male! And very gentle one!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mmbea hivyoUnamatatizo kichwani nenda kwenye profile see my Identity broh! Am that alpha male! And very gentle one!
😂😂😂[emoji23] kwakweli kichwa chake kitakuwa kizito sana
Mmezidisha kusapotiana mpaka jinsia zenu zikajulikana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38], wanaume hawasapotiani kwamdomo kiasi hiko. Hiyo women empowerment sasa[emoji23][emoji23]Asante sana nami nakukubali mbaya mshkaji wangu, pamoja sana bro [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yeah man..🤜🤛Poa bro haina noma, namba ileile?
😂😂😂 wanahangaika sanaMishangazi tunawacheka kizungu tu hao vijana wanaopaparika kwa Avatar na Majina mazuri [emoji1635]
Kumekuchaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao uliowatag unauhakika gani kwamba ni Wanawake?? Mjini hapa kuwa makini,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Huu muda unatoa wapi mkuu?? Unaweza kuta asilimia 50 ya uliowachunguza sio wanawake halisi bali ni wanaume. Usichukulie siriaz sana maisha ya mtandaoni inaweza ikakugharimu hata furaha yako
Wengine hatutishi 😂Wengine wote jinsia yenu ya kiume hataki jamani [emoji23] msinitishie Daktare wangu akafuta na jf kabisa
Waje wanikagueee, tena ntakuaa uchii wakague hadi ndani ya mwili wajue mfumo wa jinsia yangu.Watu wana wasi wasi na jinsi yake...[emoji16]
Bado mda mtoto mrito[emoji23] Acha nilale sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dogo katafute hela.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wee dear nimekumbuka kitu acha nichekeeeeEwaaah sasa urafiki na nyie hataki jamaniii wengine mtamtisha aogope hata kuingia jf anaaogopa sanaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine wote jinsia yenu ya kiume hataki jamani [emoji23] msinitishie Daktare wangu akafuta na jf kabisa
Shida sio kutisha sana shida Daktaree wangu hataki kabisa kuwaona jinsia me [emoji23] mbona kichwa chako kizito hiviWengine hatutishi [emoji23]
Hapana acha niawaache tu
[emoji23] Cheka tu kipenzi maisha ndio hayahaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wee dear nimekumbuka kitu acha nichekeeee
Si ni changu 😂Shida sio kutisha sana shida Daktaree wangu hataki kabisa kuwaona jinsia me [emoji23] mbona kichwa chako kizito hivi