Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

Uzi haunihusu ila mi nampenda sana FaizaFoxy jaman hat kam wanasema ni Bibi ila Umri ni namba tu,

Picha hii nimeambatanisha ikiwa kam kielelezo cha Hisia zangu kwake

images (23).jpeg
 
[mention]Hazard CFC [/mention] [emoji2098][emoji2098][emoji2098][emoji2098]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado unasubiri wa kukumention?? We kalewe tu
........😊nimekuja mbiombio nikajua umenitaja, kumbe unazidi kunikatisha tamaa😞😞, nipo kwa bedi ngoja nilale tu, siku imeisha vibaya hii........
 
Back
Top Bottom