Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Tumpan taarifa yakomkasage sasa kunguni.. maana furaha yenu nichukiwe tuu ili mfurahi π π π
π π π sina mke humu.. ila jiandae kuletewa file zito sana.. ila hakuna atae jitokeza hapa kuni claim mie ni wake.. watahakikisha sikuvutiii.. huko najua wameisha kaa vikao.. kuja kunichafuaWaje wake zake wanipopoe mawe hapa
yote maishaaa tuuu π π π π ... nishazoe kutoswaaTumpan taarifa yako
Ngoja tuwaite ex zakoyote maishaaa tuuu π π π π ... nishazoe kutoswaa
πππ umemalizaaaa hapa mdogo wangu... badae nicheki nikupe zawadi yako.. maana waja hawachelewi nisagia kunguni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waje na vyeti vya ndoa sio bla bla hatutaki, wifi tuko pamoja
Sijui mtu humu mie labda wajipendekeze tu π π πNgoja tuwaite ex zako
Ngoja tuwaite ex zako
[emoji4][emoji4][emoji4] umemalizaaaa hapa mdogo wangu... badae nicheki nikupe zawadi yako.. maana waja hawachelewi nisagia kunguni
Agahaahs washuhudie wasisimuliweSasa unaziita hizo expired za nini? Muache bro ajilie maasai wake
π π π alafu wifi wa ukweli mzungu ana roho ya malaika hana baya πππNilitaka nilewe kwaajiri yako umepata wifi sema nina dose [emoji16][emoji16][emoji16]
heshima ni kitu cha bure, acheni upumbavuuu wenu wa kuendeshwa na hisiaWe utakuwa ushaliwa wewe πππ
Agahaahs washuhudie wasisimuliwe
[emoji28][emoji28][emoji28] alafu wifi wa ukweli mzungu ana roho ya malaika hana baya [emoji4][emoji4][emoji4]
ukipona agiza tuuu
......daaah!! bado bilabila, anyway lakini subira yavuta heri.......
........πnimekuja mbiombio nikajua umenitaja, kumbe unazidi kunikatisha tamaaππ, nipo kwa bedi ngoja nilale tu, siku imeisha vibaya hii........[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado unasubiri wa kukumention?? We kalewe tu
π π π weyeee hata ukiogelea siku hiyoo.. nilindie maana waja hawachelewi niletea uchawi waoSubiri nipone nalewa na kuruka kwa kupandisha mori kwaajiri ya kumkaribisha wifi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]