Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

[mention]Hazard CFC [/mention] [emoji2098][emoji2098][emoji2098][emoji2098]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waje na vyeti vya ndoa sio bla bla hatutaki, wifi tuko pamoja
😊😊😊 umemalizaaaa hapa mdogo wangu... badae nicheki nikupe zawadi yako.. maana waja hawachelewi nisagia kunguni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado unasubiri wa kukumention?? We kalewe tu
........😊nimekuja mbiombio nikajua umenitaja, kumbe unazidi kunikatisha tamaa😞😞, nipo kwa bedi ngoja nilale tu, siku imeisha vibaya hii........
 
Subiri nipone nalewa na kuruka kwa kupandisha mori kwaajiri ya kumkaribisha wifi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… weyeee hata ukiogelea siku hiyoo.. nilindie maana waja hawachelewi niletea uchawi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…