Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

[emoji3][emoji3]Duh itakuwa wameamua nilivo siwez ugomvi Sasa Yani kugombana na mm ni kujipotezea muda Huwa sijali Yani unaweza ukaongea ukaanza kujishangaa mwenyew [emoji23] [emoji23]

Huyo anakutisha we mtaje mimi sina wivu bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😀😀Duh itakuwa wameamua nilivo siwez ugomvi Sasa Yani kugombana na mm ni kujipotezea muda Huwa sijali Yani unaweza ukaongea ukaanza kujishangaa mwenyew 😂 😂
kwa zile lips? lakini Acha ubondwee tu uko pm.
 
Back
Top Bottom