Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ngoja nisikitike tuMimi sikupeperushii ila naona unataka kumdanganya shosti angu maua, wakati moyo wako upo kwa mdogo angu coca
Labda km mmeachana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa ngoja nisikitike tu
Mwaka wangu huuNavutiwa na Mjep
Sema babe nisikie kuwa unanipenda na umemaanishaMwaka wangu huu
Jamani napendwaaa 📢📢📢
😅😅😅😅😅... mie nimepokea ya masai dada tu ,Nani akuchafue bwana, watanganyika wenyewe hawa wengi shida tupu. Wewe unajali kwani, ???
Mtoto kasema anavutiwa na wewe bwana, tena totoz nyingi zinasema zinavutiwa na wewe.
Hiiiiiiiiiii Bagosha!😅😅😅😅😅... mie nimepokea ya masai dada tu ,
masai dada atoshaaa 😊😊Hiiiiiiiiiii Bagosha!
Kuna wengine wanakutaja sana, sema wale wako kwenye lile kundi la wanaotaka kupelekwa USA... 🤣😅😅😅😅😅... mie nimepokea ya masai dada tu ,