Wanawake mnawezaje kuishi na mwanaume anayefokafoka?

Wanawake mnawezaje kuishi na mwanaume anayefokafoka?

Kwa shuhuda hizi za hivi karibuni

Unaweza shangaa nakutana na Mandonga mtu kazi,ni mwendo wa ngumi tu humo ndani 😂
Itabidi ujifunze ndondi, ndoa za sasaiv zataka kujipanga kwa mbinu zote😂 uwe mkimya, mwenye busara hekima, mchapakazi, mwanasaikolojia, mjasiriamali, mwana mieleka, mwenye kidomo,, kahaba kitandani, mlezi na mzazi,, kazi tuko nayo walahi
 
Nishajiliza, nishanuna....Ila haachi, Hadi sasa nimeamua nijifanye mjinga, nijishushe!
Ila inaniumiza jamani, naumia....kuna wakati nawaza au mapenzi yameisha! Watu wengine anaongea nao vizuri Mimi ananifokea!
Looo pole jamani,, ndo wale wanaume akiwa home Kila mtu atetemeke yani, umwangalie kwa kumuogopa hamna kujibebisha Wala kudeka,, yupo mtu kwenye familia ana tabia hii,, alimnyanyasa sana mkewe, naona saiv mambo yamebadilika mke ndo anamfokea mumewe😂😂😂 mbwembwe zote kwisha na ndg tunasema wacha akomeeee
 
Achana na hiyo ndoa, kwa nini? Mimi ni mwanaume, sikiliza:

1. Mwanamke akigombezwa hawezi kuwa na mapenzi ya hiyari.

2. Mwanaume anaweza asielewe na akikosa mapenzi ugomvi pale pale.

3. Usipokuwa na mapenzi naye atawaza unabated mtu nje ya ndoa - ugomvi Unaendelea.

4. Ataanza toka nje ya ndoa kwa sababu anaitaji mapenzi!

Achana naye! Hiyo cycle huishia kwenye mauaji
Mpaka kalileta hapa means imeshamchosha na kavumilia sana....yaani mi ningeshasepa Kitambo.Mwanaume ambaye hawez Kuwa rafiki na mkewe wa nn
 
Itabidi ujifunze ndondi, ndoa za sasaiv zataka kujipanga kwa mbinu zote😂 uwe mkimya, mwenye busara hekima, mchapakazi, mwanasaikolojia, mjasiriamali, mwana mieleka, mwenye kidomo,, kahaba kitandani, mlezi na mzazi,, kazi tuko nayo walahi
Kwa hiyo sisi ndio tunatakiwa kuwaelewa wao

Kazi tuko nayo kweli
 
Atakubonda ufe🤣🤣🤣🤣 nyie sii ndio mnasemaga nipige nipige kama wee mwanaume 🤣🤣🤣🤣
Kuna mmoja alimwambia mkurya nipige kama wewe mwanaume kweli, alipigwa kichwa kimoja tu akakata moto hapo hapo kwa masaa kadhaa. Hakuja kurudia tena kauli hiyo.

Wa design hiyo dawa yao akikwambia hivyo ni kumshindilia gumi moja la utosi mpaka ahisi Israel anataka kumtoa roho. Hawarudii tena.
 
Itabidi ujifunze ndondi, ndoa za sasaiv zataka kujipanga kwa mbinu zote[emoji23] uwe mkimya, mwenye busara hekima, mchapakazi, mwanasaikolojia, mjasiriamali, mwana mieleka, mwenye kidomo,, kahaba kitandani, mlezi na mzazi,, kazi tuko nayo walahi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndo mana tumevurugww muda wote.
 
Kuna mmoja alimwambia mkurya nipe kama wewe mwanaume, alipigwa kichwa kimoja tu akakata moto hapo hapo kwa masaa kadhaa. Hakuja kurudia tena kauli hiyo.

Wa design hayo dawa yao akikwambia hivyo ni kumshindilia gumi moja la utosi mpaka ahisi Israel ana kumtoa roho. Hawarudii tena.
🤣🤣🤣🤣 Ukiviona vasi vinavyo jitutumua tafikiria vina nguvu vile🤣🤣🤣 kweli usemalo hao ni kuwatia ngumi tuuu.
 
Mi nimeoa mwehu mmoja hivi, huwa ananijaribu ili afe...

Nakiangaliii nakiacha tu.

Uraiani patamu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka hakyanani
 
Je ana majukum mazito sana mbele yake?
Nkiwa na maana kua anasomesha watoto wangap? Kodi?
Wakati mwingine anakua ana hasira san huenda sababu ya hivyo
Way back mzee alikua mkali sana
Tupo kama 6 af wote tulikua tunasoma



Nowadays kawa mpoole ananenepa tu
 
Mmmh yani uwe busy na kazi na mziki aone unamdharau??? Huyo shemela kuna shida mahali.....umemzidi elimu au kipato????
Elimu tuko Sawa, amenizidi kipato....Yani afoke Mimi niwashe redio, naweza Kula mateke....akifoka Mimi nikae nimsikilize, niombe msamaha....ndo nakuwa mwanamke mwenye adabu.
Kinachomfokesha sasa hata hakiingii akilini, mfano umekosea kuzima TV, umezima direct kwenye socket atafoka mashetani ya mtaa mzima yatajua....nyiee
 
Back
Top Bottom