Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, nimekumbuka kitu.Mamy K said:Huko kwenye kumpea hafoki, kwanza sijawahi kumnyima toka anioe....ye mwenyewe anakiri hilo.
Ila hebu fikiria labda namtengea chakula, bahati mbaya wakati naweka glass mezani nikosee hesabu glass ijigonge, jamani atafokaaa, Yani atanifokea Kama mtoto.
Akianza kufoka nenda chumbani kaka mkao wa royal tour akija atanyamaza nabkuanza kupapasa kalio. Harudii Tena kufoka.Uroda nampa, Yani nampa kweli kweli....Ila hiyo tabia haachi.
Labda unatabia ya kurudia rudia makosa mfano hilo la kuzima Tv kwenye socket madhara yake utaunguza Tv.Elimu tuko Sawa, amenizidi kipato....Yani afoke Mimi niwashe redio, naweza Kula mateke....akifoka Mimi nikae nimsikilize, niombe msamaha....ndo nakuwa mwanamke mwenye adabu.
Kinachomfokesha sasa hata hakiingii akilini, mfano umekosea kuzima TV, umezima direct kwenye socket atafoka mashetani ya mtaa mzima yatajua....nyiee
Unaogopa kubondwa?!Habari zenu jamani.
Naomba kuuliza, inawezekana mie nimesahau mafundisho ya shangazi, wanawake wenzangu mnawezaje kuishi na mwanaume anaye fokafoka? Maana mimi naona yamenifika hapa!
Huyu mwanaume amenizidi umri kwa miaka saba, sasa sijui ananichukulia mimi mdogo yake! Yaani nikikosea kitu kidogo atafoka huku ananikata jicho kali, haijalishi kuna dada wa kazi karibu, ni atafoka tu! Huyo dada wa kazi nae anafokewa hadi namuonea huruma mtoto wa watu.
Huwa nanyamaza kisha namtafutia pose zuri namwambia anavyonikwaza ila routine ni ile Ile, nahisi kukonda, kugombana nae siwezi atanibonda nife.
Naombeni mbinu jamani nifanyeje, yamenifika kwa koo mwenzenu?!
Kanda maalumu nini a.k jita maana wale ndiyo zao hawanaga lugha ya mawasiliano.Huko kwenye kumpea hafoki, kwanza sijawahi kumnyima toka anioe....ye mwenyewe anakiri hilo.
Ila hebu fikiria labda namtengea chakula, bahati mbaya wakati naweka glass mezani nikosee hesabu glass ijigonge, jamani atafokaaa, Yani atanifokea Kama mtoto.
Kuna wengine ni tabia zao kufoka foka tena ukute ni dakika 1--2, ujue lazima ajihami ili ajulikane kama yupo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna mwanaume anayemfokea mwanamke mpole na asiye na mdomo. jiangalie Sana. anajihami kwa kukufokea baada ya kugundua una kiburi au mdomo pistol.
Mie sio mwongeaji Wala mpigaji. Ila mwaka huu nimeanza tabia ya kumfokea wife. amebaki anaduwaa kuwa miaka 16 yote sijawahi mfokea, imekuwaje Tena? namjibu tu achague mawili, kutuliza kimdomo chake au nimzibue mateke kabisa.
wanawake nanyi mnatubadilisha sana
Haaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nunua kiredio kile cha bluetooth, hakikisha akiwa around unawasha mziki sauti ya juu usimpe chance ya kukupigia makelele....unafanya kazi zako huku unaimba imba tu.
Duu maajabu hayaMuwekee sumu kwenye chakula
Unazani kusepa ni rahisi hivyo kwa mtu uliyeishi naye, ni ngumu sana.Mpaka kalileta hapa means imeshamchosha na kavumilia sana....yaani mi ningeshasepa Kitambo.Mwanaume ambaye hawez Kuwa rafiki na mkewe wa nn
Akili za bangi, unajua kuna wale watu ambao wakiwa tumboni mama zao wanapitia mambo magumu sana yana hadhiri mpaka mtoto, na malezi pia huchangiaElimu tuko Sawa, amenizidi kipato....Yani afoke Mimi niwashe redio, naweza Kula mateke....akifoka Mimi nikae nimsikilize, niombe msamaha....ndo nakuwa mwanamke mwenye adabu.
Kinachomfokesha sasa hata hakiingii akilini, mfano umekosea kuzima TV, umezima direct kwenye socket atafoka mashetani ya mtaa mzima yatajua....nyiee
🤣unakuwa hujaamuaUnazani kusepa ni rahisi hivyo kwa mtu uliyeishi naye, ni ngumu sana.
Hahaaa wew dada umekuja kutuchekesha ukuElimu tuko Sawa, amenizidi kipato....Yani afoke Mimi niwashe redio, naweza Kula mateke....akifoka Mimi nikae nimsikilize, niombe msamaha....ndo nakuwa mwanamke mwenye adabu.
Kinachomfokesha sasa hata hakiingii akilini, mfano umekosea kuzima TV, umezima direct kwenye socket atafoka mashetani ya mtaa mzima yatajua....nyiee
Kumbe tv hupaswi kuzima sirect kwenye socket😲😲😲😲Elimu tuko Sawa, amenizidi kipato....Yani afoke Mimi niwashe redio, naweza Kula mateke....akifoka Mimi nikae nimsikilize, niombe msamaha....ndo nakuwa mwanamke mwenye adabu.
Kinachomfokesha sasa hata hakiingii akilini, mfano umekosea kuzima TV, umezima direct kwenye socket atafoka mashetani ya mtaa mzima yatajua....nyiee