Hiyo cha mtoto, kimbembe kosa hela alafu una mke na watoto....unakuwa na hasira tuu. Yaani ata mkeo akiwa anapita mbele na khanga moja anatimgisha tako wee unadhani anakukashifu.Sitanii asije kuwa ana vidonda vya tumbo...
Kuna baadhi ya magonjwa yanafanya mtu anakua na hasira sana.
Kitu si kitu una mind tu.