Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Uko sawa ila ndio haiwezekani kwa walio wengi....too hypothetical!Kukubali ujinga na kushindwa ni best way ya kucontrol emotion!
TOFAUTI YOYOTE KWENYE MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA NDOA KUKUBALI UJINGA NA KUSHINDWA NDIO NJIA SAHIHI!
AWE ME AU KE!!!
Mkuu napokua katika mahusiano thabiti huwa sitoki nje ya mwanamke wangu kwaiyo hii kitu inanipaga hali fulan ya hasira napoona usaliti unanukia. Sasa mimj hasira nisehem yangu mbaya ambayo kila siku najitahidi niiepuke.Mkuu umegonga keyboard kwa hisia kali mno. Nikuulize tu kuwa wewe huwa ni mwaminifu katika mahusiano? Yaani ukiwa na mpenzi au mke no cheating kabisa? Kama jibu ni NDYO basi nimekuelewa hisia zako ila kama huwa una cheat basi chukulia poa na ukichapiwa ni siri ya ndani
Sure Mkuu. Kama kweli ndiyo ULIVYO SERIOUS katika relationship una haki ya hasira. Kama ulivyosema KUACHANA ni jibu tosha. Katika taarifa ya habari ITV saa mbili leo mchungaji aliyefanya ibada ya mazishi ya huyu Nesi amesema ukiona ndani hamuelewani na hatari unaona ni bora uondoke usisubiri kifo kiwatenganishe wakati unaona kabisa maisha yako yako hatarini.Mkuu napokua katika mahusiano thabiti huwa sitoki nje ya mwanamke wangu kwaiyo hii kitu inanipaga hali fulan ya hasira napoona usaliti unanukia. Sasa mimj hasira nisehem yangu mbaya ambayo kila siku najitahidi niiepuke.
Kwamantiki hiyo., for the betterment of my health and my life ..kuachana is the only way to go !!!.
Mkuu mimi ni mkristo , wanaume wengi wa kikristo wanajisahau sana kwakweli ..BIBLIA INASEMA IVI MWANAMME AMUACHE MWANAMKE KWA DHAMBI YA USALITI .Sure Mkuu. Kama kweli ndiyo ULIVYO SERIOUS katika relationship una haki ya hasira. Kama ulivyosema KUACHANA ni jibu tosha. Katika taarifa ya habari ITV saa mbili leo mchungaji aliyefanya ibada ya mazishi ya huyu Nesi amesema ukiona ndani hamuelewani na hatari unaona ni bora uondoke usisubiri kifo kiwatenganishe wakati unaona kabisa maisha yako yako hatarini.
Wewe ukigundua umechapiwa vibaya mno halafu mwanamke anakuchora tu utakubali kushindwa na kukubali aendelee kuchapwa IPASAVYO?
Unaacha afu unaenda oa perhaps alieachwa piaMkuu mimi ni mkristo , wanaume wengi wa kikristo wanajisahau sana kwakweli ..BIBLIA INASEMA IVI MWANAMME AMUACHE MWANAMKE KWA DHAMBI YA USALITI .
Sasa watu wanajifanyaga wanaupendo wadamu. Kuvumilia tabia zawatu matokeo yake WAMEISHIA KUFA.
Kama mwanamme imani yangu nikuhakikisha nitatimiza yotenyaloyangu...alafu nifanye ivo mtu unisaliti?? Cheeeeeee utegemeee nakusemehee?? .Unaacha afu unaenda oa perhaps alieachwa pia
Nadhani kabla ya kuacha angalia kama haujachangia tatizo kwanza..
Je unampa mkeo haki inavostahili?.amechepuka kwa sababu gani?.
Kama kweli we ni msafi and u was doing ur best basi sawa
Othrwise Mungu anawaona
C.c kwa watu wote walioko mapenziniNa ukubwa pia halina mkuu. Kabla hujatenda tafakari kidogo haya.
Ulimtoa wapi
Ulimkutaje
Wewe ni msafi kiasi gani
Umekidhi matarajio yake
Amekidhi matarajio yako.
Kuna maisha bila yeye ?kama yapo yatakuwa vipi.
Baada ya hapo chukua hatua.
Ha ha haPengine ushawahi kuisikia hii stori.
Kuna mmakonde mkewe alikua malaya sana jamaa akipita mtaani ananyooshewa vidole.
Siku hiyo anarudi nyumbani akakutana na watoto wa shule ya msingi wakisimulia kua wamempiga fiesta mke wa jamaa.
Jamaa akafika nyumbani kwa ghadhabu anamwambia mkewe "Iyeee kukitembeza ntaa njima umeona haitochi umewapelekea mpaka watoto baah, nitafungulia n'jiki chidi mia chaba na mimi nigawe nkundu ntaa wote huu...halafu tuwaulije nani ntamu"
Waweza dhani mwenzio anafurahia kitu kumbe hafurahii...mambo ya mapenzi ni zaidi ya tuyajuavyoKama mwanamme imani yangu nikuhakikisha nitatimiza yotenyaloyangu...alafu nifanye ivo mtu unisaliti?? Cheeeeeee utegemeee nakusemehee?? .
Hapana kwakweli ... Usaliti nichanzo cha kifo..... Sitaki kufa sababu ya mtu .
Nikwambie kitu ukiona hutimiziwi na mume wako hakuridhishi ni bora umwambie muachane maana akikukamata unafanywa huko nje Halafu bado unajiita ni mke wake utaumia.Mwanaume mchungu sana kusalitiwa ...swali je ewe mwanaume je wewe ni msafi?unatimiza haki /wajibu wote ukiwa kama mwanaume kwa mpenz wako?ukipata majibu utajua ufanye nini ukichitiwa
Kweli kabisa na mimi ndo nilichosema hapaSure Mkuu. Kama kweli ndiyo ULIVYO SERIOUS katika relationship una haki ya hasira. Kama ulivyosema KUACHANA ni jibu tosha. Katika taarifa ya habari ITV saa mbili leo mchungaji aliyefanya ibada ya mazishi ya huyu Nesi amesema ukiona ndani hamuelewani na hatari unaona ni bora uondoke usisubiri kifo kiwatenganishe wakati unaona kabisa maisha yako yako hatarini.
Hahahaha aisee mi naona nimeumbwa tofauti hata kama nina kimada nje lakini nikijua wife anatembea nje itaniumiza sana. Huu ndio ukweli japo mchunguMkuu umegonga keyboard kwa hisia kali mno. Nikuulize tu kuwa wewe huwa ni mwaminifu katika mahusiano? Yaani ukiwa na mpenzi au mke no cheating kabisa? Kama jibu ni NDYO basi nimekuelewa hisia zako ila kama huwa una cheat basi chukulia poa na ukichapiwa ni siri ya ndani
Hahahah na hii ndio maana yakeNikwambie kitu ukiona hutimiziwi na mume wako hakuridhishi ni bora umwambie muachane maana akikukamata unafanywa huko nje Halafu bado unajiita ni mke wake utaumia.
Shukran mkuu prince kuntaNaunga mkono huu uzi