Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukka zote then hata akiimba mapambio au mapiano we uchune kimya.Habari za muda huu wadau .
Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .
Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.
Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .
Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
SawaUsimfanyie hivyo mwanamke mwenzio jamani, amkanye huo mchezo ukiisha asicheze tena.
Akicheza tena ndio achukue hela.
Dipresheni hizoMtuache jamani!!
akaushe tuu asifanye ivosubiri zijae kidogo ndio uchukue.
Hii nayo ninusaliti wa hali ya juu.Habari za muda huu wadau .
Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .
Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.
Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .
Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
1. Mpongeze kwa kuwa mchumi mzuri. Inawezekana wewe isingeweza kuweka akina kama yeye afanyavyoHabari za muda huu wadau .
Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .
Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.
Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .
Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
Tumezizoea🤣🤣Dipresheni hizo
Haipaswi kuwa hivyo zitaawaelemeni.Tumezizoea🤣🤣
Tunajua namna ya kudeal nazo.Haipaswi kuwa hivyo zitaawaelemeni.
Adi wewe unachezaga izo michezo?Tunajua namna ya kudeal nazo.
Hii nayo ninusaliti wa hali ya juu.
Mara mia mke akatombweee huko nje lakini sio kuficha kuhusu kucheza mchezo. Yaani mke anachezea hela zako...huyo ni wakufukuza kabisa.
Achezee mbususu yake lakini sio hela zako bro