Wanawake mtatuua na hizi michezo za siri

Wanawake mtatuua na hizi michezo za siri

Habari za muda huu wadau .

Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .

Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.

Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .

Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
Chukka zote then hata akiimba mapambio au mapiano we uchune kimya.
 
Hiyo pesa usiichukue mwache acheze mchezo wake cha msingi angalia kitu gani anaifanyia hiyo hela. Wakati mwingine wamama wanatuokoa pindi ambapo mambo yamekuwa magumu kumbe kuna ka hela alikatunza ndo anaitoa kwa ajili ya support
 
Habari za muda huu wadau .

Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .

Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.

Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .

Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
Hii nayo ninusaliti wa hali ya juu.
Mara mia mke akatombweee huko nje lakini sio kuficha kuhusu kucheza mchezo. Yaani mke anachezea hela zako...huyo ni wakufukuza kabisa.
Achezee mbususu yake lakini sio hela zako bro
 
Habari za muda huu wadau .

Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .

Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.

Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .

Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
1. Mpongeze kwa kuwa mchumi mzuri. Inawezekana wewe isingeweza kuweka akina kama yeye afanyavyo

2. Mwongezee hela ya bajeti ya matumizi nyumbani ili anapotoa ya mchezo usiishie kulishwa "matembele" badala ya "samaki"

3. Chunguza kwa siri kwa kipindi cha miezi mitatu uone anachofanyia hizo fedha

ANGALIZO: Usimwibie hela ya mchezo kwani kufanya hivyo ni sawa na kujiibia. Mwache aamue kwa uhuru matumizi ya fedha za mchezo. Huenda katika kipindi cha miezi mitatu utagundua kuwa huo mchezo una manufaa makubwa kwa familia yenu kuliko ulivyofikiri.

Ndoa inahitaji kuaminiana!
 
Unapaswa kuacha hadi kujua lengo la saving hyo n nn mkuu

Kama pesa hyo itajumuisha malengo kifamilia (au atakuhusisha mwisho sa siku) huyo n mke mtunze sana ila kama yatakuw matumiz yake binafs
 
Hii nayo ninusaliti wa hali ya juu.
Mara mia mke akatombweee huko nje lakini sio kuficha kuhusu kucheza mchezo. Yaani mke anachezea hela zako...huyo ni wakufukuza kabisa.
Achezee mbususu yake lakini sio hela zako bro


Pale kibamia kinaposhika hatamu kufanya maamuzi kuzidi kichwa kikuu...😁😁🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Back
Top Bottom