Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Ndio nataka nianze.Adi wewe unachezaga izo michezo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nataka nianze.Adi wewe unachezaga izo michezo?
Atabadirisha pa kuweka.Usimfanyie hivyo mwanamke mwenzio jamani, amkanye huo mchezo ukiisha asicheze tena.
Akicheza tena ndio achukue hela.
Acha usijekichanganya bureNdio nataka nianze.
Rudisha ile avatar yako ya siku zote umenyoa way to heavenMtuache jamani!!
Muulize anacheza kwa manufaa ya familia na kivipi au la, kutokana na jibu lake, ndio uamue uchukue hatua gani.Habari za muda huu wadau .
Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .
Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.
Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .
Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
Usipompa hela za vikoba, atapewa na vijana wasio na familia. Usije kuja kulialia eti unagongewa.Habari za muda huu wadau .
Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .
Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.
Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .
Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
Sahihi!.1.mimi kwangu marufuku mboga za majani,dagaa kama main,hizo ziwe ni sub
2.kama anacheza mchezo,huyo ana akili,maana kajiongeza,akipokea atatimiza haja zake ndogondogo,badala ya kukusumbua wewe.
Pesa ngapi unaacha?, ongea nae na akwambie malengo yake ya kucheza hiyo michezo!,wengine hucheza mara chache akipata kamsingi kake anaacha.....Habari za muda huu wadau .
Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .
Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.
Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .
Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
Kuna jinsia mpya siku hizi, LGBTQSo mkuu kwa muktadha huu wewe unajitoa pande zote?
Umeandika as if wewe ni kiumbe tofauti kimekaa mahali kikiwachora wanaume na wanawake wanaoishi dunia hii.
Haiwezi nichanganya bwana🤣Acha usijekichanganya bure
mkeo na yeye ni mdau wa JF rudi chukua haraka kabla hajaona post yako....Habari za muda huu wadau .
Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .
Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.
Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .
Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.