Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Wanasemaga hivyo hivyo sema zamu yako kupokea ikifika utanishtua tutafute mahali ili nikushauri uzifanyie nini.Haiwezi nichanganya bwana🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasemaga hivyo hivyo sema zamu yako kupokea ikifika utanishtua tutafute mahali ili nikushauri uzifanyie nini.Haiwezi nichanganya bwana🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 cha kuanyia tayari nishajua, bado pesa tu.Wanasemaga hivyo hivyo sema zamu yako kupokea ikifika utanishtua tutafute mahali ili nikushauri uzifanyie nini.
Kama sijakushauri mimi hicho sio, si unajua ushauri mzuri unapatikana bar sitak upate madipresheni.🤣🤣🤣🤣🤣 cha kuanyia tayari nishajua, bado pesa tu.
Habari za muda huu wadau .
Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .
Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.
Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .
Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
Kaeni chini muongee. Muulize hizo hela anafanyia nini. Kama ni kwa manufaa ya familia basi angalieni jinsi ya kufanya ili angalau Mkuu ule kuku kidogo.Habari za muda huu wadau .
Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .
Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.
Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .
Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
Ili mradi hakuibii mwache mkeo aendelee na mchezo. Kuna siku utamshukuru.Habari za muda huu wadau .
Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .
Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.
Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .
Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
Hapanaaaa, hizo ni dipresheni.Kama sijakushauri mimi hicho sio, si unajua ushauri mzuri unapatikana bar sitak upate madipresheni.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Chukua, Alafu mwambie uko na bahati maana umeokota hela ummo ndani. Uone anavo anza kujiuma uma, Usimpe mpaka anyoshe maelezo
Shauri yakoHapanaaaa, hizo ni dipresheni.
😃😃Usichukue hizo hela cha kufanya ongea naye mwambie anaweza akafa akaacha hela za mchezo ukabaki unazinywea bia.
Kazi kweli kweli......Habari za muda huu wadau .
Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .
Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.
Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .
Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.