Wanawake mtatuua na hizi michezo za siri

Wanawake mtatuua na hizi michezo za siri

Ukichukua utakuwa umeiba yaani mwizi. Kaa nae uzungumze nae labda atakwambia sababu ambayo hata wewe utaielewa

Habari za muda huu wadau .

Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .

Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.

Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .

Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
 
Habari za muda huu wadau .

Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .

Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.

Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .

Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
Kaeni chini muongee. Muulize hizo hela anafanyia nini. Kama ni kwa manufaa ya familia basi angalieni jinsi ya kufanya ili angalau Mkuu ule kuku kidogo.
Habari za muda huu wadau .

Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .

Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.

Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .

Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
Ili mradi hakuibii mwache mkeo aendelee na mchezo. Kuna siku utamshukuru.
 
Chukua, Alafu mwambie uko na bahati maana umeokota hela ummo ndani. Uone anavo anza kujiuma uma, Usimpe mpaka anyoshe maelezo
 
Chukua, Alafu mwambie uko na bahati maana umeokota hela ummo ndani. Uone anavo anza kujiuma uma, Usimpe mpaka anyoshe maelezo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Shukru Mungu anachukua ni Hela Yako Sio ya kuhongwa na mangi,Wewe endelea kuchunguza ila usichukue Hata senti halafu subiri mwisho wa siku akipokea hiyo Hela kitu Gani Cha tofauti ambacho atakifanya .Baadhi ya wamama waliowengi wanacheza michezo Kwa malengo hapo inawezekana kabisa kuna kitu anataka kufanya na alishajua kabisa akikuomba Hela ya kufanyia hilo jambo lake huwezi kumpa.Tulia labda kama menu haileweki sana waweza kumuuliza tu kwamba mama boresha kidogo menu.
 
Habari za muda huu wadau .

Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .

Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.

Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .

Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
Kazi kweli kweli......
 
Back
Top Bottom